peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
DuuhKuna mahali nimepita, mazungumzo niliyo yakuta yakiongelewa kuhusu Bw. Robert Mushi maarufu kama Babu G, ninashauri iundwe tume huru kuchunguza kifo chake.
Katika tume hiyo,polisi isihusishwe Wala wasishiriki.
Pili kijana huyo asizikwe hadi uchunguzi utakapo malizika.
Inawezekana lile kundi hatari la "wasiojulikana" bado lipo haiKatika tume hiyo,polisi isihusishwe Wala wasishiriki.
Habari hizi zinatishaInawezekana kundi hatari la "wasiojulikana" bado lipo hai
RIP Shujaa MagufuliKwanini polisi wanatumia nguvu kubwa na kutishia watu kisa nini? kama aliokotwa tangu tarehe 11 kwanini hawakutangaza?
Huyu ndiyo chanzo cha mauaji nchiniRIP Shujaa Magufuli
Mwangosi πΌHuyu ndiyo chanzo cha mauaji nchini
Ilikuwa bahati mbayaMwangosi πΌ
Unapenda vibaya ππIlikuwa bahati mbaya
Kuna mahali nimepita, mazungumzo niliyo yakuta yakiongelewa kuhusu Bw. Robert Mushi maarufu kama Babu G, ninashauri iundwe tume huru kuchunguza kifo chake.
Katika tume hiyo,polisi isihusishwe Wala wasishiriki.
Pili kijana huyo asizikwe hadi uchunguzi utakapo malizika.
Nimekuwa Lucas Mwashambwa?Unapenda vibaya ππ
HahahaNimekuwa Lucas Mwashambwa?
Kwani na yeye wamemuokota?RIP Shujaa Magufuli
Sahivi amebwana kuchapa mihutasari ya UWT haonekaniHahaha
HahahNinasikiliza redio eti Muliro anasema marehem aligongwa na gari. Je polisi waliutangazia umma kwamba kuna mtu amegongwa na gari na amefariki? Mambo haya yasikie kwa jirani.
Kamanda Muliro aliyemshauri aandike barua ya vitisho Kwa whistle blowers kampoteza maboya.Kuna mahali nimepita, mazungumzo niliyo yakuta yakiongelewa kuhusu Bw. Robert Mushi maarufu kama Babu G, ninashauri iundwe tume huru kuchunguza kifo chake.
Katika tume hiyo,polisi isihusishwe Wala wasishiriki.
Pili kijana huyo asizikwe hadi uchunguzi utakapo malizika.