Serikali iwaangalie kwa ukaribu watu hawa na kuwafuatilia

Serikali iwaangalie kwa ukaribu watu hawa na kuwafuatilia

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Jirani yangu ana fuga ng'ombe 12 wa maziwa. Hawa ng'ombe wake hawatoki nje. Nmeanza kujiuliza huyu kila siku anazalisha kama kilo 250+ za kinyesi. Je anapeleka wapi? Na mkojo kama lita 210+ unaenda wapi?

Nmewaza sana kutokana na Takwimu za Prof Mayele. Huyu jirani anapeleka wapi hivi vitu? Maana kuna kijito hapa karibu kinapita. Ingawa sijafanikiwa kuona chura wakifa ...nasikia wakipiga tu kelele lakini je hii si shida?

Anapeleka wapi kinyes robo tani kwa siku? Anapeleka wapi huyu jirani?
 
Jirani yangu ana fuga ng'ombe 12 wa maziwa. Hawa ng'ombe wake hawatoki nje. Nmeanza kujiuliza huyu kila siku anazalisha kama kilo 250+ za kinyesi. Je anapeleka wapi? Na mkojo kama lita 210+ unaenda wapi?

Nmewaza sana kutokana na Takwimu za Prof Mayele. Huyu jirani anapeleka wapi hivi vitu? Maana kuna kijito hapa karibu kinapita. Ingawa sijafanikiwa kuona chura wakifa ...nasikia wakipiga tu kelele lakini je hii si shida?

Anapeleka wapi kinyes robo tani kwa siku? Anapeleka wapi huyu jirani?

Aibu kubwa kwa waasisi wa ripoti hii.
 
Jirani yangu ana fuga ng'ombe 12 wa maziwa. Hawa ng'ombe wake hawatoki nje. Nmeanza kujiuliza huyu kila siku anazalisha kama kilo 250+ za kinyesi. Je anapeleka wapi? Na mkojo kama lita 210+ unaenda wapi?

Nmewaza sana kutokana na Takwimu za Prof Mayele. Huyu jirani anapeleka wapi hivi vitu? Maana kuna kijito hapa karibu kinapita. Ingawa sijafanikiwa kuona chura wakifa ...nasikia wakipiga tu kelele lakini je hii si shida?

Anapeleka wapi kinyes robo tani kwa siku? Anapeleka wapi huyu jirani?
Mto mara
 
Uwezo wake darasani na katika kufundisha iko kwa wale mliofundishwa na huyo Prof pale COET?
 
Bora ripoti ingeandikwa na darasa la saba kuliko huyo leprofesali, kile kinyesi si kinakuwa udogo
 
Back
Top Bottom