Godfrey Rutalashwa
New Member
- Aug 17, 2021
- 1
- 0
Mkulima wa miwa kilombero anapitia changamoto nyingi hadi afikie hatua ya kuua miwa,mfano mkulima ununua mbolea Bilal ruzuku,sumu za wadudu ambao wamekuwa tatizo kubwa kwenye zao ili kwa sasa nk.
Kwa masikitiko makubwa sana kampuni ya Sukari Kilombero imempunja mkulima kwa kununua tani moja ya sukari sh37,537.89 wakati huo huo kukiwa na utitiri wa makato yanayofanya mkulima kukata tamaa na kuwa kulima mazao mbadala.
Serikali tusaidieni Wakulima
Kwa masikitiko makubwa sana kampuni ya Sukari Kilombero imempunja mkulima kwa kununua tani moja ya sukari sh37,537.89 wakati huo huo kukiwa na utitiri wa makato yanayofanya mkulima kukata tamaa na kuwa kulima mazao mbadala.
Serikali tusaidieni Wakulima