Serikali iwaondoe wahudumu ombaomba Airport, ni fedheha kwa nchi

Serikali iwaondoe wahudumu ombaomba Airport, ni fedheha kwa nchi

Master Legendary

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
576
Reaction score
876
WanaJamvi kuna jambo linanikera sana hii Airport ya JKNIA, jambo la wenyewe ni kujaa kwa wahudumu ombaomba.

Nimebahatika kusafiri mara mbilitatu kwenda Mbeya na Mwanza kupitia hii Airport. Serikali iangalie wahudumu walioko ndani pale mtu unapopangiwa seat ya ndege wanaombaomba sana mara niachie hela ya soda, mara sijala sister. Yani kero juu ya kero!

Kwakweli nimekwazika.
 
Hiyo kadhia kweli ipo, hata mimi imeshawahi kunitokea two times.

Mfanya usafi maliwatoni na Askari mmoja pale nje kwa nyakati tofauti.

Kama wanadhani ukisafiri kwa ndege basi wewe ni tajiri, wanakosea sana.

Wengine inatulazimu kutokana na shida mbalimbali.
 
Back
Top Bottom