Serikali iwape wananchi mafunzo na uwezeshi kwa kilimo cha umwagiliaji

Serikali iwape wananchi mafunzo na uwezeshi kwa kilimo cha umwagiliaji

Lkkl

Member
Joined
Dec 25, 2020
Posts
31
Reaction score
21
Jamn kwa jua hili Tunaomba serikali iwape wananchi mafunzo na uwezeshi kwa kilimo cha umwagiliaji maana hali c hali
 
Jamn kwa jua hili Tunaomba serikali iwape wananchi mafunzo na uwezeshi kwa kilimo cha umwagiliaji maana hali c hali
Vuli imetabiriwa kuwa chini ya kiwango Cha kawaida, na joto kali
 
Mafunzo sio tatizo kwenye kilimo, hayo hata youtube utayapata.

Matatizo kwenye kilimo:
1.Mbloea za uhakika
2.Udhibiti wa Magonjwa na wadudu
3.Utabiri wa hali ha hewa
4.Uthibiti wa bei za mazao
5.Soko

Hayo ndo matatizo, serikali tunataka wa chip in
 
Mafunzo sio tatizo kwenye kilimo, hayo hata youtube utayapata.

Matatizo kwenye kilimo:
1.Mbloea za uhakika
2.Udhibiti wa Magonjwa na wadudu
3.Utabiri wa hali ha hewa
4.Uthibiti wa bei za mazao
5.Soko

Hayo ndo matatizo, serikali tunataka wa chip in
Nakuunga mikono,miguu na kichwa changu Kwa hoja hii. Changamoto nyingine mitaji elimu tunazo tele
 
Back
Top Bottom