Serikali iwapeleke Wahadzabe kulima

Serikali iwapeleke Wahadzabe kulima

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka wanajamvi!

Hakuna mila pale ni maigizo.

Wakati umefika serikali iwakusanye haya makabila ya porini kina Hadzabe na kuwapeleka kwenye mapori tengefu lukuki ya serikali yaliozagaa kila mahali nchini na wajishughulishe na kazi za kilimo ili nchi ipate chakula cha kutosha na ghala la taifa lineemeke.

Haiwezekani kuna nguvu kazi imekaa kizembe zembe tu huko chaka kwa kisingizio cha mila.

Hamna mila pale ni maigizo tu. Unakuta Mhadzabe siku hizi muhadzabe anavaa chupi/boxer,.

Hadi wengine wana Iphone, blue tooth earphones. Na mguuni nike adidas na jeans za vunja bei.

Wanakula hadi kande na biriani.
 
Aliyekwambia shida ni Nguvukazi (Hakuna watu wa kufanya vitu) ni nani ?

Tatizo ni Soko; Sera mbovu imepelekea kila kitu kuwa Bahati Nasibu; Hata ukilima inabidi utambikie ili upate mteja let alone bei utakayouza irudishe hata gharama ulizotumia...

Tatizo kubwa hatujui hata TATIZO.....
 
Moja Kati ya mawazo ya hovyo na ufinyu wa kufikiri ni huu.

👉Sasa mkuu hao wa hadzabe, hawana haki za binadamu?

👉Hawa stahili kuishi katika mfumo wanao ona ni Bora?

👉Halafu suala kulima ili mpate chakula???, Ni suala la kulalamikia wahdazabe?

👉Halafu nawe una jiita msomi katika nchi hii???, Kwanini usitumie usomi wako ukaonyesha utofauti🤔.
Maana mito na maziwa yamejaa, ardhi ndo hio🤔
 
hapo umejikuta great thinker umeshusha nondo. hao wa hadzabe wako wangapi kujaza ghala la chakula?

komaa na hali yako na wa hadzabe waache na maisha yao.

wewe na kabila lako mmeshajaza maghala mangapi?
 
Mzuka wanajamvi!

Hakuna mila pale ni maigizo.

Wakati umefika serikali iwakusanye haya makabila ya porini kina hadzabe na kuwapeleka kwenye mapori tengefu lukuki ya serikali yaliozagaa kila mahali nchini na wajishughulishe na kazi za kilimo ili nchi ipate chakula cha kutosha na ghala la taifa lineemeke.

Haiwezekani kuna nguvu kazi imekaa kizembe zembe tu huko chaka kwa kisingizio cha mila.

Hamna mila pale ni maigizo tu. Unakuta mhadzabe siku hizi muhadzabe anavaa chupi/boxer,.

Hadi wengine wana Iphone, blue tooth earphones. Na mguuni nike adidas na jeans za vunja bei.

Wanakula hadi kande na biriani.
Ila mkuu kuna wakati nami nshaji question
 
Mzuka wanajamvi!

Hakuna mila pale ni maigizo.

Wakati umefika serikali iwakusanye haya makabila ya porini kina hadzabe na kuwapeleka kwenye mapori tengefu lukuki ya serikali yaliozagaa kila mahali nchini na wajishughulishe na kazi za kilimo ili nchi ipate chakula cha kutosha na ghala la taifa lineemeke.

Haiwezekani kuna nguvu kazi imekaa kizembe zembe tu huko chaka kwa kisingizio cha mila.

Hamna mila pale ni maigizo tu. Unakuta mhadzabe siku hizi muhadzabe anavaa chupi/boxer,.

Hadi wengine wana Iphone, blue tooth earphones. Na mguuni nike adidas na jeans za vunja bei.

Wanakula hadi kande na biriani.
Hayaa sasaaa
Simama juu ya meza
Hapo sitting room
Jipige pige kifua Mara tatu
Sema mimi ni kengeee
 
Naungana mkono hoja tena wapewe majembe butu ya mipini mifupi wakawekwe kwenye ardhi yenye vichuguu.Wamenyeke haswa.Wakati wa Sensa walisema hatuhesabiwi mpaka tupewe nyama .Kuletewa nyama wakadai hatutaki ya nyumbu tunataka ya nyani ndio tamu.Wavivu wakubwa hao.Nimesahau na bangi walihitaji ndio wakahesabiwa.
 
hapo umejikuta great thinker umeshusha nondo. hao wa hadzabe wako wangapi kujaza ghala la chakula?

komaa na hali yako na wa hadzabe waache na maisha yao.

wewe na kabila lako mmeshajaza maghala mangapi?
Unaona sasa yaleyale niliyoyasema si unaona muhadzabe mwengine hapa anatumia internet yuko jamvin.

Tulia wewee lazima upelekwe kwenye mapori tengefu ya serikali ukalime upende usipende.

Sauh'waah?!
 
Back
Top Bottom