Serikali iwapelekee medali wanariadha wetu mahili huko Paris

Serikali iwapelekee medali wanariadha wetu mahili huko Paris

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Mashindano ya Olimpiki yanaendelea huko Paris huku watalii wetu wakiwa hawajui kilichowapeleka huko kwenye mashindano hayo.

Kikosi cha Tanzania ni kikosi duni kuliko vyote kwani ni vigumu kumtambua nani kiongozi na nani mchezaji, wote wanafanana.

Serikali iwatoe aibu kwa kuwachongea medali kisha iwapelekee angalau nao wazivae wafanane na wanamichezo wa Olimpiki.
 
Acha mambo yako! Tuko busy na mabonanza ya simba na yanga. Mwambie Rostam Aziz na Abdul mtoto wa chura kiziwi wa Kizimkazi wawachongee hizo medali maana hao ndo mchwa wakuu wa taifa kwa sasa hela zao hazina kazi
 
Back
Top Bottom