Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Hilo nalo tutalifanyia kazi.Acha mambo yako! Tuko busy na mabonanza ya simba na yanga. Mwambie Rostam Aziz na Abdul mtoto wa chura kiziwi wa Kizimkazi wawachongee hizo medali
Hapana, akabidhiwe Lucas Mwashambwa awatembeze mikoani kuitafutia kura CCM.Wakirudi nchini WAKAMATWE WOTE
Wangepata medali ndipo ungejua umuhimu wake kupitia kwa Lucas Mwashambwa.Kwani Olimpiki ina umuhimu gani ccm?
Ungesikia nyo.ko nyo.ko chura anaupiga mwingiWangepata medali ndipo ungejua umuhimu wake kupitia kwa Lucas Mwashambwa.