Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Nilimsikiliza Rais katika ufunguzi wa kitu cha mabasi Magufuli kule Mbezi akitambua mchango wa mama lishe katika jamii.
Mama lishe wengi wanatengeneza chakula katika hali ngumu sana. Wengi wanatumia kuni kama nishati ya kupikia, sshemu wanazopikia ni duni na mvua ikinyesha wanapata adha kubwa.
Kuwasaidia mikopo way majiko ya gas na mitungi yakewkwa riba nafuu kutaimarisha hata usafi wa mazingira wanayopikia, kuwaepusha na shida ya moto kuzimika mvua ikinyesha, kuokoa misitu yetu nk.
Serikali inaweza kufanya mkataba na makampuni ya gas ili kuwapa mama lishe uwezo wa kumiliki majiko bora.
Mama lishe wengi wanatengeneza chakula katika hali ngumu sana. Wengi wanatumia kuni kama nishati ya kupikia, sshemu wanazopikia ni duni na mvua ikinyesha wanapata adha kubwa.
Kuwasaidia mikopo way majiko ya gas na mitungi yakewkwa riba nafuu kutaimarisha hata usafi wa mazingira wanayopikia, kuwaepusha na shida ya moto kuzimika mvua ikinyesha, kuokoa misitu yetu nk.
Serikali inaweza kufanya mkataba na makampuni ya gas ili kuwapa mama lishe uwezo wa kumiliki majiko bora.