Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Dkt. Gwajima D
Bado kilimo kinaonekana kama kamali machoni mwa vijana wa mjini
Bado kilimo kinaoekana primitive katika fikra za vijana wa mjini.
Lakini naamini kilimo hichi ndio mkombozi wao wa kukosa ajira. Bado tuna ardhi kubwa sana nyingine za wanachi na nyingine za serikali zilizo tengwa kusubiria investors.
Graduates wanaotoka mahala flani wakusanyike hata kumi, huku wao wakipewa plan ya marejesho hata ya 5-10yrs or which ever mtakavyoona then waingie mashambani wafanye kilimo ambacho hawatategemea tena mvua.
Mashine hizi watakuwa wakipokezana wao kwa wao. Mashine hizo wapewe kwa kuambatannisha na elimu kuhusu aina ya kilimo wanachoenda kukifanya.
Bado kilimo kinaonekana kama kamali machoni mwa vijana wa mjini
Bado kilimo kinaoekana primitive katika fikra za vijana wa mjini.
Lakini naamini kilimo hichi ndio mkombozi wao wa kukosa ajira. Bado tuna ardhi kubwa sana nyingine za wanachi na nyingine za serikali zilizo tengwa kusubiria investors.
Graduates wanaotoka mahala flani wakusanyike hata kumi, huku wao wakipewa plan ya marejesho hata ya 5-10yrs or which ever mtakavyoona then waingie mashambani wafanye kilimo ambacho hawatategemea tena mvua.
Mashine hizi watakuwa wakipokezana wao kwa wao. Mashine hizo wapewe kwa kuambatannisha na elimu kuhusu aina ya kilimo wanachoenda kukifanya.