DOKEZO Serikali iwe makini na mtu anayejiita "Mohamedi" akidai ni msaidizi wa Waziri wa Utumishi na Utawala bora

DOKEZO Serikali iwe makini na mtu anayejiita "Mohamedi" akidai ni msaidizi wa Waziri wa Utumishi na Utawala bora

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
UJUMBE MZITO KWA WANABIHARAMULO KUHUSU MTU ANIYEJIITA LIMBILE MARTIN AU KIZINGU NI MTU HATARI TAPELI WA KISIASA ANAJIITA MSAIDIZI WA MBUNGE WA MPWA AMBAYE NI WAZIRI WA UTUMISHI NA UTAWALA BORA .

Kizungu unajiita msaidizi wa waziri lakini kimsingi waziri anao watumishi walioajiliwa na serkali kama makatibu wake sio mtu baki tena mwenye elimu ya darasa la saba na anayetumia majina bandia .

Kizungu au Limbile alitaka kumhadaa mbunge wa biharamulo amlipe ili kuwa yeye anaishi nyakahura atangaze miradi ya jimbo mitandaoni kabla ya kushtukiwa na kuanza kutumia majina bandia ya Limbeli Martin .

Anajiita mtumishi wa ikulu idara ya usalama wa taifa ,ni muongo anaishi kwa kuhadaa wanasiasa na sasa anaukaribu na Dk Gresimus Ssebuyoya akisema atamhakikishia anakuwa mbunge wa biharamulo katika uchaguzi ujao .

Anapiga picha akiwa na magari ya serkali na chama cha mapinduzi ili kuhadaa wanasiasa ni mtu hatari sana kwa usalama wa nchi hapaswi kuachiwa afanye anayo fanya.

Wanabiharamulo wanapaswa kuwa makini na mti huyu ambaye haishi biharamulo na kuwahadaa atwapa uongozi
 

Attachments

  • FB_IMG_1740493748051.jpg
    FB_IMG_1740493748051.jpg
    42.9 KB · Views: 2
Hayo mambo kwa ccm ni ya kawaida sana, kama mawaziri kumuona Rais hadi koneksheni ndio iwe hilo!

Unaambiwa Steve Nyerere ni ofisa wa Ikulu, sasa unashangaa nini?
 
UJUMBE MZITO KWA WANABIHARAMULO KUHUSU MTU ANIYEJIITA LIMBILE MARTIN AU KIZINGU NI MTU HATARI TAPELI WA KISIASA ANAJIITA MSAIDIZI WA MBUNGE WA MPWA AMBAYE NI WAZIRI WA UTUMISHI NA UTAWALA BORA .

Kizungu unajiita msaidizi wa waziri lakini kimsingi waziri anao watumishi walioajiliwa na serkali kama makatibu wake sio mtu baki tena mwenye elimu ya darasa la saba na anayetumia majina bandia .

Kizungu au Limbile alitaka kumhadaa mbunge wa biharamulo amlipe ili kuwa yeye anaishi nyakahura atangaze miradi ya jimbo mitandaoni kabla ya kushtukiwa na kuanza kutumia majina bandia ya Limbeli Martin .

Anajiita mtumishi wa ikulu idara ya usalama wa taifa ,ni muongo anaishi kwa kuhadaa wanasiasa na sasa anaukaribu na Dk Gresimus Ssebuyoya akisema atamhakikishia anakuwa mbunge wa biharamulo katika uchaguzi ujao .

Anapiga picha akiwa na magari ya serkali na chama cha mapinduzi ili kuhadaa wanasiasa ni mtu hatari sana kwa usalama wa nchi hapaswi kuachiwa afanye anayo fanya.

Wanabiharamulo wanapaswa kuwa makini na mti huyu ambaye haishi biharamulo na kuwahadaa atwapa uongozi
Hao watu wakati katika siasa zetu wana umuhimu kuliko wale wenye vyeo, hao ni madalali wasiasa wanafika popote ila hawana vyeo wanatumia uchawa kupata connection popote, nchi zetu ndo zilivyo jiulize kwanini Raisi anaweza kua na number ya simu ya Diamond, Steve Nyerere au mwijaku, ila hakakosa number ya simu ya Dakitari bingwa wa mifupa pale Moi au number ya simu ya mkuu wa Wilaya wa Biharamuro jiulize kwanini?...........
 
ila CCM mmeliharibu sana hili Taifa. Ndo tumefikia huku?
Kuna mbweha alikula sana pwsa za maafisa polisi Kiwaadi ute,i wa vyeo vikubwa na wengine wapate uhamisho sehemu ya miji mikubwa🤣
Jamaa yangu mmoja naye alikumbwa na hili
 
UJUMBE MZITO KWA WANABIHARAMULO KUHUSU MTU ANIYEJIITA LIMBILE MARTIN AU KIZINGU NI MTU HATARI TAPELI WA KISIASA ANAJIITA MSAIDIZI WA MBUNGE WA MPWA AMBAYE NI WAZIRI WA UTUMISHI NA UTAWALA BORA .

Kizungu unajiita msaidizi wa waziri lakini kimsingi waziri anao watumishi walioajiliwa na serkali kama makatibu wake sio mtu baki tena mwenye elimu ya darasa la saba na anayetumia majina bandia .

Kizungu au Limbile alitaka kumhadaa mbunge wa biharamulo amlipe ili kuwa yeye anaishi nyakahura atangaze miradi ya jimbo mitandaoni kabla ya kushtukiwa na kuanza kutumia majina bandia ya Limbeli Martin .

Anajiita mtumishi wa ikulu idara ya usalama wa taifa ,ni muongo anaishi kwa kuhadaa wanasiasa na sasa anaukaribu na Dk Gresimus Ssebuyoya akisema atamhakikishia anakuwa mbunge wa biharamulo katika uchaguzi ujao .

Anapiga picha akiwa na magari ya serkali na chama cha mapinduzi ili kuhadaa wanasiasa ni mtu hatari sana kwa usalama wa nchi hapaswi kuachiwa afanye anayo fanya.

Wanabiharamulo wanapaswa kuwa makini na mti huyu ambaye haishi biharamulo na kuwahadaa atwapa uongozi
Mmeshindwaje kumkamata na kumshitaki kama sio msaidizi wa huyo anayemtaja?

Ssebuyoya huyo ni Mrundi typical bila hata shaka.
 
Back
Top Bottom