Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Ushirikina una kata kitabia misimamo ya watu wote.Serikali tena na sio TFF.
Tulikubaliana serikali isiingilie Mpira
Mimi nimechoka, eti mechi imeahirishwa kwa vile mtu smefungiwa nje asiingie kuloga. Nasi tunazibariki sababu za kijinga kama hizo.Unawaza nini? Hujui kuwa serikali, Simba na Yanga ni kama pande mbili za shilingi huwezi kuzitenganisha. Mnachosha akili zenu sababu ya Mpira wa bongo.
Ukiona jipu linakuelemea usisubiri likupasukie.Selikali haipaswi kuingilia mambo ya Mpira wa Miguu mbona Huelewi
Kushabikia simba na Yanga ni Uchizi
Yanga imekuwa kawaida yao kutotumia mlango rasmi wa kuingilia uwanjani kwa imani za kishirikina na kila mara wanapigwa faini ambayo wanailipa bila kujisikia kuwa wameadhibiwa na huu umekuwa utamaduni wao na TFF kwa vile inanufaika na faini hiyo ni kama wamebariki huu utamaduni, laiti kama timu inayofanya mambo yanayoashiria imani za kishirikina ingekuwa inapokwa point badala ya faini ya hela huu upuuzi usingekuwepo. Kuna upuuzi mwingi sana katika timu hizi Simba na Yanga ambao unalidhalilisha Tiafa letu.
Sasa Serikali iwe makini kivipi wakati na wao wenyewe wanarogana kishenzi, si mwaka wa uchaguzi huu, subiri kama hamjasikia haji Manara katekwa na kiongozi wa serikali kufanywa msukule.View attachment 3264288
Mimi si mpenzi wa Yanga au Simba, su timu yoyote nchini au nje ya nchi.
Ila ilipofika jana jioni, usiku nikakutana na shabiki mmoja akilalamikia vikali kuahirishwa kwa mechi ya Yanga na Simba, iliyokuwa ifanyike jana mchana..
Nimefuatilia kiini cha tatizo.
Kimsingi tatizo ni watu wazima na akili zao kujitwwka ushirikina kichwani, huku wakijua watanzania tulio wengi ni waumini wa dini zetu iwe Ukristo au Uislamu.
Ushirikina upo, lakini kuuenzi katika shughuli za umma huo ni ushenzi na kutostaarabika.
Kwahili sakata la jana Serikali kupitia Wizara husika ikemee ushenzi huu unaoonyesha kuna watu ustaarabu kwao bado kabisa.
Ashakuambia vya mpira havijuišSerikali tena na sio TFF.
Tulikubaliana serikali isiingilie Mpira
Viongozi wetu wenyewe ni wachawi, hawawezi ingilia ndani hili suala hata siku mojaView attachment 3264288
Mimi si mpenzi wa Yanga au Simba, su timu yoyote nchini au nje ya nchi.
Ila ilipofika jana jioni, usiku nikakutana na shabiki mmoja akilalamikia vikali kuahirishwa kwa mechi ya Yanga na Simba, iliyokuwa ifanyike jana mchana..
Nimefuatilia kiini cha tatizo.
Kimsingi tatizo ni watu wazima na akili zao kujitwwka ushirikina kichwani, huku wakijua watanzania tulio wengi ni waumini wa dini zetu iwe Ukristo au Uislamu.
Ushirikina upo, lakini kuuenzi katika shughuli za umma huo ni ushenzi na kutostaarabika.
Kwahili sakata la jana Serikali kupitia Wizara husika ikemee ushenzi huu unaoonyesha kuna watu ustaarabu kwao bado kabisa.