Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Siku za karibuni nimekuwa nikiona matangazo mengine matandaoni ya kuwavutia vijana kwenda kusoma bure Urusi.
Kabla ya vita hii inayoendelea sikuwahi kuona matangazo kama haya
Sasa ukitazama kuna vijana kadhaa kutoka Afrika waliokuwa wanasoma huko wamefia vitani halafu wote walikuwa jela
Hii inaleta wasiwasi mkubwa, bahati nzuri watu wengi wamestuka ila wapo wajinga wachache wanaoweza kuingia mtegoni, serikali iwe makini
Kabla ya vita hii inayoendelea sikuwahi kuona matangazo kama haya
Sasa ukitazama kuna vijana kadhaa kutoka Afrika waliokuwa wanasoma huko wamefia vitani halafu wote walikuwa jela
Hii inaleta wasiwasi mkubwa, bahati nzuri watu wengi wamestuka ila wapo wajinga wachache wanaoweza kuingia mtegoni, serikali iwe makini