Bulelaa
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 1,342
- 3,247
Chonde chonde Serikali yetu, wakulima sasa tunapata shida kubwa hasa maeneo yetu huku Pwani
Mazao karibu yote yanasakamwa na kunguru, wanaharibu mazao kama, Tikiti maji, sweatmelon, sweatcon, mahindi ya kawaida,
Imeniuma sana nimelima hekari mbili ya Tikiti maji, yote yameharibiwa kwa kudonolewa yakiwa machanga
Kunguru saa 11 alfajiri tayati wapo shamba,
Tuna sikia kunguru hawa waliletwa kwa kazi maalumu ya usafi huko beach, basi serikali ione namna ya kuwaangamiza na au kuwapunguza kabisa
Kunguru wanavamia mpaka mboga, ugali na mchele wanakula
Kunguru wanasababisha umasikini
Mazao karibu yote yanasakamwa na kunguru, wanaharibu mazao kama, Tikiti maji, sweatmelon, sweatcon, mahindi ya kawaida,
Imeniuma sana nimelima hekari mbili ya Tikiti maji, yote yameharibiwa kwa kudonolewa yakiwa machanga
Kunguru saa 11 alfajiri tayati wapo shamba,
Tuna sikia kunguru hawa waliletwa kwa kazi maalumu ya usafi huko beach, basi serikali ione namna ya kuwaangamiza na au kuwapunguza kabisa
Kunguru wanavamia mpaka mboga, ugali na mchele wanakula
Kunguru wanasababisha umasikini