Serikali izifunge na kuzihamisha Shule za Sekondari Mkongo na Utete za Rufiji kwenda Dar

Serikali izifunge na kuzihamisha Shule za Sekondari Mkongo na Utete za Rufiji kwenda Dar

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Kufuatia Mafuriko ya Rufiji , kutokana na uzembe wa serikali na kukurupuka baada ya Envirment impact Assessment kuonyesha lile bwawa likijengwa litakuwa na uharibifu wa eco system na jamii sasa mafuroko makubwa yaja.

Majumba yamefunikwa, mashamba yamefunikwa na sasa huenda shule hizo zikasombwa.

Kwakuwa serikali imehamia Dodoma kutoka Dar es salaam na kwakuwa kuna majengo mengi yaliyokuwa ya Wizara na yamebaki yakioza mfano Wizara ya sheria na katiba hapa mbele ya Bustani ya NBC, Embassy Hotel bp Hotel zote zinaoza, zikarabatiwe wanafunzi wote wahamishiwe humo na mabweni yawe humo humo na wafundishwe na walimu wale wale na wengine kutoka Dar, usajili ubaki wa mkoa wa pwani lakini shule ziwe Dar.
Embassy Hotel imefungwa mwaka 1993 mpaka leo 2024 ipo tu inajiozea. Mzee Mengi aliomba akodishiwe akanyimwa na Waziri mmoja mnamjua, akaomba Kempisky akanyimwa na Waziri huyo huyo.

xxx.JPG
 
Issue ya eco haina maana kwetu sisi tunufaike na umeme kwanza

Swala la kuwahamisha ni kwa muda mfupi tuuu

Mbona mabwawa karibu yote huwa yanafunguliwaaaaa na mwaka jana na mwaka huu mabwawa yote yamefunguliwa ili kupunguza maji.

Na hili swala la mafuriko limetokea mwaka huu ila mpaka bwawa kuja kujaa hivi tena inaweza pita miongo mingi
 
Issue ya eco haina maana kwetu sisi tunufaike na umeme kwanza

Swala la kuwahamisha ni kwa muda mfupi tuuu

Mbona mabwawa karibu yote huwa yanafunguliwaaaaa na mwaka jana na mwaka huu mabwawa yote yamefunguliwa ili kupunguza maji.

Na hili swala la mafuriko limetokea mwaka huu ila mpaka bwawa kuja kujaa hivi tena inaweza pita miongo mingi
Una hitaji mchele wa MAREKANI medula yako itoe ufahamu hata 0.3 kati ya 100% .

Umeme bila kuwa na miti ya kuleta mvua hayo maji si yatakauka?
Unavyosikia RUBADA, WAMI BASIN , MUWASA na mamlaka ya mabonde unafikir. kazi zake ni nini?
hujui misitu na eco inayozungumzwa ndio inasababisha kuwa na maji na mvua ?
 
Una hitaji mchele wa MAREKANI medula yako itoe ufahamu hata 0.3 kati ya 100% .

Umeme bila kuwa na miti ya kuleta mvua hayo maji si yatakauka?
Unavyosikia RUBADA, WAMI BASIN , MUWASA na mamlaka ya mabonde unafikir. kazi zake ni nini?
hujui misitu na eco inayozungumzwa ndio inasababisha kuwa na maji na mvua ?
Dah
 
Hapo kwenye Embasy Hotel,umenigusa ..kila kwenye Mawasilisho ya Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii,bungeni moja ya changamoto ambayo wizara huitaja ni changamoto ya kuwa na VITANDA vichache kwa ajili ya kulaza WATALII kulinganisha na majirani zetu Kenya

Sasa kwanini hilo jengo la iliyokuwa Embasy hotel,asipewe mwekezaji aliboreshe na kufungue hotel?
 
Back
Top Bottom