Serikali, kemeeni mila potofu ya Wamasai na Wasukuma kuposa watoto wakiwa wadogo

Serikali, kemeeni mila potofu ya Wamasai na Wasukuma kuposa watoto wakiwa wadogo

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
418
Reaction score
526
Ninakwazika sana na unafiki wa serikali na asasi za kutetea haki za watoto.Mmekuwa mnapiga vita ndoa za utotoni na kupigania haki ya kupata elimu.

Mbona wamasai,wasukuma bado wanatabia mbaya ya kuweka oda binti angali mdogo na akibalehe tu wanaoa mpo kimya,huyu binti anakosa haki ya elimu, haki ya kuamuwa na mbaya zaidi anaolewa na libaba umri wa baba yake serikali mpo wapi?😭😭😭🤦
 
Jina lako linasadiki Uchungu wa kuwekwa Bond kuisubiri Njemba iliyokuoa.
Inauma sana mabinti wanakosa haki ya kusoma. Nadhani elimu ya ufahamu na malezi ianze kutolewa kwa wazazi hao kujuwa athari za mambo haya atakayekaidi basi muowaji na waozeshaji kesi halafu ndani.
 
Masai wanaoa bint wa miaka 16 ,17 ,18 nilishangaa sana au kule Arusha vijijin ni Kenya?
 
Yote haya yamesababishwa na serikali ya ccm kutokupeleka shule huko usukumani.wangekuwa wamewekeza elimu vya kutosha huo uhuni ungekuwa haupo kabisa.

Lakini hata wewe mleta mada unatakiwa uchukue hatua Kwa kutoka taarifa Kwa wahusika au hata kuandika tu hapa jf Kwa taarifa sahihi zinazojitosheleza wahusika wataona.
 
Yote haya yamesababishwa na serikali ya ccm kutokupeleka shule huko usukumani.wangekuwa wamewekeza elimu vya kutosha huo uhuni ungekuwa haupo kabisa.Lakini hata wewe mleta mada unatakiwa uchukue hatua Kwa kutoka taarifa Kwa wahusika au hata kuandika tu hapa jf Kwa taarifa sahihi zinazojitosheleza wahusika wataona.
Wapo wazi hadaharani.
 
Life span ya mtanzania inaongezeka au inapungua?

Katika kipindi hicho kifupi anatakiwa awe ametomiza majukumu yote yampaswayo kama binaadamu.
 
Back
Top Bottom