britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Serikali imesema kwamba kuanzia Oktoba 1, 2021 itaanza kampeni ya chanjo ya UVIKO kwa watumishi wote wa serikali wakianza na sekta ya afya yenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ExactlyHayo ndio masharti ya ule mkopo wa juzi.
Mkopo Unatula Bado Riba YakeExactly
Serikali imesema kwamba kuchanja ni lazima Kwa watumishi wote wa serikali wakianza na sekta ya afya yenyewe
Unachanja mbuga tena? Wallah nimecheka.Sikupenda kucheka kwa wiki hii.😝😝😝😝Wameambiwa watahamasishwa wachanjwe, inamaa ukihamasika unachanja chanjo, usipo hamasika unachanja mbuga🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Serikali imesema kwamba kuchanja ni lazima Kwa watumishi wote wa serikali wakianza na sekta ya afya yenyewe
Serikali imesema kwamba kuchanja ni lazima Kwa watumishi wote wa serikali wakianza na sekta ya afya yenyewe
Na wewe uliamini waliposema kuchanja hiari?Kuchanja Ni Hiyari
Elimu Itolewe Kwanza
Serikali imesema kwamba kuchanja ni lazima Kwa watumishi wote wa serikali wakianza na sekta ya afya yenyewe