Bookman Oldstyle
Senior Member
- Nov 3, 2019
- 147
- 47
Makujumu makubwa ni:
1. Kuanzishwa mabwawa ya samaki kila Wilaya na kuwa na species mbalimbali
2. Kusimamia uzalishaji wa samaki kwa kuzingatia taratibu za kisayansi
3. Kutafutà masoko ya bidhaa za samaki kwa kuzingatia mahitaji yaliyopo
4. Kuandaa takwimu za samaki pamoja na mahitaji ya soko
5. Kuajiri wataalamu au wazoefu wa sekta ya samaki kwa kuzingatia organisation structure ya Wakala.
6. Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa Waziri utakapohitajika ili kuendana na soko la wasomi, wazoefu
7. Kuandaa na kusimamia viwanda vya kusindika samaki na kupaki kwa ajili ya kuingia kwenye masoko
8. Kusimamia uvuaji na usindikaji wa samaki kwa vifaa maalamu kama meli katika ukanda wa bahari ya Hindi, na maziwa nchini
Serikali ya awamu ya tano ni samaki kwa kwenda mbele.
1. Kuanzishwa mabwawa ya samaki kila Wilaya na kuwa na species mbalimbali
2. Kusimamia uzalishaji wa samaki kwa kuzingatia taratibu za kisayansi
3. Kutafutà masoko ya bidhaa za samaki kwa kuzingatia mahitaji yaliyopo
4. Kuandaa takwimu za samaki pamoja na mahitaji ya soko
5. Kuajiri wataalamu au wazoefu wa sekta ya samaki kwa kuzingatia organisation structure ya Wakala.
6. Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa Waziri utakapohitajika ili kuendana na soko la wasomi, wazoefu
7. Kuandaa na kusimamia viwanda vya kusindika samaki na kupaki kwa ajili ya kuingia kwenye masoko
8. Kusimamia uvuaji na usindikaji wa samaki kwa vifaa maalamu kama meli katika ukanda wa bahari ya Hindi, na maziwa nchini
Serikali ya awamu ya tano ni samaki kwa kwenda mbele.