Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
GHATI CHOMETE - SERIKALI KUFUFUA KIWANDA CHA NGUO MUTEX MUSOMA
MASWALI NA MAJIBU BUNGENI
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe. Ghati Zephania Chomete ameiuliza swali Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara ambalo lilijibiwa na Naibu Waziri Mhe. Exaud Silaoneka Kigahe
"Pamoja na Uwekezaji mzuri kufanyika wa kujenga kiwanda cha nguo cha MUTEX Musoma , lakini mpaka sasa kiwanda hakifanyi kazi, Ni upi mkakati wa Serikali wa kufufua kiwanda hicho"? - Mhe. Chomete
"Moja ya mikakati ya Serikali ni kuona namna gani tunafufua Viwanda ambavyo havifanyi kazi. Serikali tumeshaanza kuona vile Viwanda ambavyo walikuwa wamepewa watu binafsi na havifanyi kazi na hawaviendelezi kuvirudisha Serikalini na hatua ya pili ni kuvitafutia wawekezaji ili waweze kuwekeza katika Viwanda hivyo na mojawapo ni kiwanda cha MUTEX Musoma" - . Exaud Silaoneka Kigahe
MASWALI NA MAJIBU BUNGENI
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe. Ghati Zephania Chomete ameiuliza swali Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara ambalo lilijibiwa na Naibu Waziri Mhe. Exaud Silaoneka Kigahe
"Pamoja na Uwekezaji mzuri kufanyika wa kujenga kiwanda cha nguo cha MUTEX Musoma , lakini mpaka sasa kiwanda hakifanyi kazi, Ni upi mkakati wa Serikali wa kufufua kiwanda hicho"? - Mhe. Chomete
"Moja ya mikakati ya Serikali ni kuona namna gani tunafufua Viwanda ambavyo havifanyi kazi. Serikali tumeshaanza kuona vile Viwanda ambavyo walikuwa wamepewa watu binafsi na havifanyi kazi na hawaviendelezi kuvirudisha Serikalini na hatua ya pili ni kuvitafutia wawekezaji ili waweze kuwekeza katika Viwanda hivyo na mojawapo ni kiwanda cha MUTEX Musoma" - . Exaud Silaoneka Kigahe