Pre GE2025 Serikali kugawa mitungi ya gesi kwa sharti la kutoa namba ya nida ni mkakati wa kupata kura feki 2025?

Pre GE2025 Serikali kugawa mitungi ya gesi kwa sharti la kutoa namba ya nida ni mkakati wa kupata kura feki 2025?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Majuzi kuna mdau aliweka uzi kuhusu mitungi ya gesi kugaiwa kwa masharti ya kutoa namba ya nida - Nzega, Tabora: Mtaani kwetu kuna watu wanapita Kila kaya wanagawa mitungi ya gesi, Sharti lao uwape namba yako ya NIDA

Tunajua taarifa za nida zinatumika sehemu nyingi ikiwepo na kwenye vitambulisho vya kupiga kura, ukiwa na namba ya nida ya mtu ina maana una taarifa zake zote za kutosha kuandaa kitambulisho kingine.

Kwanini hakuna utaratibu mwingine wa kuhakikisha kuwa sehemu fulani imefikiwa mpaka wachukue namba ya NIDA? Kwanini wasitumie wajumbe mtaani wanaojua watu wote kwenye mitaa yao kufanikisha zoezi hilo?

Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao nao wanagawa mitungi ya gesi, je, pia nao wanadi namba ya NIDA? - Pre GE2025 - Mama Ongea na Mwanao kugawa mitungi ya gesi

Zoezi hili kuendeshwa wakati huu tena makundi mbalimbali ya CCM kuhusika ni rushwa ya wazi wazi kipindi cha uchaguzi.

Huu ni ubabaishaji unaanza kutengenezwa mapemba kabisa na kuja kutuletea takwimu ambazo hazina uhalisia.

======


Akijibu swali aliloulizwa kuhusu utaratibu wa kugawa mitungu ya gesi leo Februari 10, 2025, Naibu Waziri Wizara ya Nishati Ndg. Judith Kapinga amesema;

"Kwa utaratibu wa sasa hivi kila mtungi mmoja unaenda kwa kwa mtu mmoja na inachukuliwa vile vile kwa namba ya nida yote ni kuhakikisha tunaweza kufikisha mitungi kwa wananchi wengi zaidi.... na kwenye kila mkoa kuna mawakala.."
 
Hahaha ngoja nikajitwalie mitungi, nakula kwao ila kura ni siri yangu
Ushatoa namba yako, wanaenda kutengeneza kitambulisho kingine, kinaenda kuandikishwa huko Kyambankumbe unakuwa umeshawapatia kura tayari 🌚 🌚
 
Wakuu,

Majuzi kuna mdau aliweka uzi kuhusu mitungi ya gesi kugaiwa kwa masharti ya kutoa namba ya nida - Nzega, Tabora: Mtaani kwetu kuna watu wanapita Kila kaya wanagawa mitungi ya gesi, Sharti lao uwape namba yako ya NIDA

Tunajua taarifa za nida zinatumika sehemu nyingi ikiwepo na kwenye vitambulisho vya kupiga kura, ukiwa na namba ya nida ya mtu ina maana una taarifa zake zote za kutosha kuandaa kitambulisho kingine.

Kwanini hakuna utaratibu mwingine wa kuhakikisha kuwa sehemu fulani imefikiwa mpaka wachukue namba ya NIDA? Kwanini wasitumie wajumbe mtaani wanaojua watu wote kwenye mitaa yao kufanikisha zoezi hilo?

Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao nao wanagawa mitungi ya gesi, je, pia nao wanadi namba ya NIDA? - Pre GE2025 - Mama Ongea na Mwanao kugawa mitungi ya gesi

Zoezi hili kuendeshwa wakati huu tena makundi mbalimbali ya CCM kuhusika ni rushwa ya wazi wazi kipindi cha uchaguzi.

Huu ni ubabaishaji unaanza kutengenezwa mapemba kabisa na kuja kutuletea takwimu ambazo hazina uhalisia.

======


Akijibu swali aliloulizwa kuhusu utaratibu wa kugawa mitungu ya gesi leo Februari 10, 2025, Naibu Waziri Wizara ya Nishati Ndg. Judith Kapinga amesema;

"Kwa utaratibu wa sasa hivi kila mtungi mmoja unaenda kwa kwa mtu mmoja na inachukuliwa vile vile kwa namba ya nida yote ni kuhakikisha tunaweza kufikisha mitungi kwa wananchi wengi zaidi.... na kwenye kila mkoa kuna mawakala.."
my friends ladies and gentlemen, Mbona NIDA na uchaguzi mkuu havihusiani kabisa,

upotoshaji kama huu upuuzwe.

Tutajuaje mitungi mingapi ya gesi tayari imeshasambazwa kwa wananchi bila kufanya hivyo my lady?🐒
 
my friends ladies and gentlemen, Mbona NIDA na uchaguzi mkuu havihusiani kabisa,

upotoshaji kama huu upuuzwe.

Tutajuaje mitungi mingapi ya gesi tayari imeshasambazwa kwa wananchi bila kufanya hivyo my lady?🐒
Havihusiani kivipi? 😂 😂 :KEKWlaugh: ukipata namba ya nida ni geti la kupata taarifa zako zoteee, ikiwemo picha yako, majina yako yote matatu, tarehe ya kuzaliwa na mengine mengine mengi.... ya kutosha kabisa kutengeneza kitambulisho cha kupiga kura
 
Namba za nida wakizitaka kwa matumizi yao ni simu moja file linatumwa moja kwa moja kutoka nida, itakua huko wanataka idada ila sio kuitafuta nida kwa kuteseka hivyo
 
my friends ladies and gentlemen, Mbona NIDA na uchaguzi mkuu havihusiani kabisa,

upotoshaji kama huu upuuzwe.

Tutajuaje mitungi mingapi ya gesi tayari imeshasambazwa kwa wananchi bila kufanya hivyo my lady?🐒
Sijui, lakini hii ya serikali tumeambiwa hapo elfu 70+ kati ya laki 4+ imeshatolewa kwa wananchi... sasa sijui unajaribu kupinga nini Mkuu?😀😀😀
 
Namba za nida wakizitaka kwa matumizi yao ni simu moja file linatumwa moja kwa moja kutoka nida, itakua huko wanataka idada ila sio kuitafuta nida kwa kuteseka hivyo
Wakafanya hivi ikakugundulika panati yake itakuwa kubwa kwa kampuni za simu za hata serikali, itaathiri hadi kimataifa, hivyo inabidi wapitie mlango wa nyuma kimkakati... inakuwa hawahusiki lakini wanahusika
 
Havihusiani kivipi? 😂 😂 :KEKWlaugh: ukipata namba ya nida ni geti la kupata taarifa zako zoteee, ikiwemo picha yako, majina yako yote matatu, tarehe ya kuzaliwa na mengine mengine mengi.... ya kutosha kabisa kutengeneza kitambulisho cha kupiga kura
huo ni upotishaji wa kiwango cha chini sana my lady,

picha ya kitambilisho cha NIDA na kile cha NEC ni tofauti mno my lady, na na vitambulisho hivyo vina security features tofauti kabisa,

hata hivyo,
ni below 10% ya wapiga kura ndio wanaboresha taarifa zao kuhusu uchaguzi mkuu 2025, na below 20% ni wapiga kura wapya waliotimiza miaka18 majuzi,

hivyo bas, waliobaki wengine,
hakuna taarifa zozote za mpiga kura kwenye daftari la kudumu la wapiga kura zitakazobadilishwa,

na kwahiyo upotishaji wako bado una sifa zote za kupuuzwa.

Wanaopewa mitungi ya gas lazima wajulikane kwa majina na mahali walipo ili kua na record ya uhakika zoezi hili linaufanisi kiasi gani 🐒
 
huo ni upotishaji wa kiwango cha chini sana my lady,

picha ya kitambilisho cha NIDA na kile cha NEC ni tofauti mno my lady, na na vitambulisho hivyo vina security features tofauti kabisa,

hata hivyo,
ni below 10% ya wapiga kura ndio wanaboresha taarifa zao kuhusu uchaguzi mkuu 2025, na below 20% ni wapiga kura wapya waliotimiza miaka18 majuzi,

hivyo bas, waliobaki wengine,
hakuna taarifa zozote za mpiga kura kwenye daftari la kudumu la wapiga kura zitakazobadilishwa,

na kwahiyo upotishaji wako bado una sifa zote za kupuuzwa.

Wanaopewa mitungi ya gas lazima wajulikane kwa majina na mahali walipo ili kua na record ya uhakika zoezi hili linaufanisi kiasi gani 🐒
Acha kutupiga banaaa, unaongea kama bado stone age bana, uko na picha na details zote nini kinazuia kupata kopi ya kitambulisho kingine? It doesnt matter wangapi wanaboresha so long au kuna taarifa za kutengenza kitambulisho kingine.... tofauti na kwenye kura taarifa hizo zinaweza kutumika vizuri tu kwenye kufanya uhalifu mzigo akaangushiwa mwingine, matumizi ni endless
 
Acha kutupiga banaaa, unaongea kama bado stone age bana, uko na picha na details zote nini kinazuia kupata kopi ya kitambulisho kingine? It doesnt matter wangapi wanaboresha so long au kuna taarifa za kutengenza kitambulisho kingine.... tofauti na kwenye kura taarifa hizo zinaweza kutumika vizuri tu kwenye kufanya uhalifu mzigo akaangushiwa mwingine, matumizi ni endless
copy ya nini na una kitambulisho halisi ndugu mpotoshaji mshupaza shingo?

there is no room or escape root for criminals in this very beautiful republic. Labda mkajipange DRC na upotoshaji wenu.

waTanzania wanufaika wa mitungi ya gas wataendelea kutoa na kuchukuliwa taarifa zao muhimu ili hatimae kama Taifa tupate takwimu sahihi na idadi kamili ya waTanzania waliopata gas na ambao bado hawajapata ili kuepuka kujirudia kwa wanufaika wadanganyifu wasio waaminifu, hali ya kua zoezi bado halijakamilika kote nchini kwa waTanzania wengine.

Upotoshaji ni ushirikina ndugu zangu 🐒
 
Wakafanya hivi ikakugundulika panati yake itakuwa kubwa kwa kampuni za simu za hata serikali, itaathiri hadi kimataifa, hivyo inabidi wapitie mlango wa nyuma kimkakati... inakuwa hawahusiki lakini wanahusika
Sijataja kampuni ya simu hapo, alaf uliona wapi serikali inajipiga faini
 
Back
Top Bottom