Serikali kujitoa katika swala LA chakula kwa wanafunzi wa diploma

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,170
Reaction score
7,665
Mwishoni mwa mwezi wa tank serikali kupitia wizara ya afya ilitoa barua ambayo ilikuwa ikielekeza kuwa mwaka wa masomo 2015/2016 serikali haitahusika kutoa chakula kwa vyuo vyote vya diploma hapa nchi vile vinavyo milikiwa na serikali na kutaka wanafunzi wote wajitegemee kwa suala LA chakula kutokana na serikali kuwa na madeni makubwa kwa wazabuni....wanafunzi hao hawajambiwa kama watepewa mkopo au laa sasa umefika ule mda ambao mtoto wa maskini kusoma ni ndoto
 
Hahahahhah babaa kweliii ujakoseaa mwananguu lazimaa tufee kwa njaa hahahahha sema mbona kibaha wanaishi ivoivo tuu bila kupikiwaa ila frshh kwanza chakula kilikuwa kama cha shule za serikali za advance tutasoma tuu laki 4 yangu na 80 kwa mbeya nakula mwaka mzima na inabakiii
 
serikali haina hela huku mpango wake wa siri kuwalipa wabunge mamilioni kama kiinua mgongo ukiwa mbioni. Fedha ya kula wanasiasa ipo ila ya kula wanafunzi watoto wa wakulima na wafanyakazi hakuna
 
serikali haina hela huku mpango wake wa siri kuwalipa wabunge mamilioni kama kiinua mgongo ukiwa mbioni. Fedha ya kula wanasiasa ipo ila ya kula wanafunzi watoto wa wakulima na wafanyakazi hakuna

Na bado kuna mabwege yanayoathirika moja kwa moja na maamuzi kama haya bado wanatumiwa, wanaisifia na watapigia kura CCM.
acha waendelee kuteseka tu c mnawapenda.
 

Kwa siku unatumia buku!?
 
Hivi swala la kusema mtoto wa masikini nani alaumiwe kati ya serikali na mzazi au walezi wa huyo mtoto?
 


Kumbe na mbwembwe zako zote unasoma diploma

Pathetic!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…