Serikali kuombwa christmas iwe inafanyika kitaifa Moshi-Kilimanjaro.

Serikali kuombwa christmas iwe inafanyika kitaifa Moshi-Kilimanjaro.

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Sikukuu ya Christmas ambayo ni kumbukizi ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo [Mungu] ambaye alizaliwa Israel katika mki wa Bethlehemu , miaka 2024 iliyopita.

Wachagga, katika kikao chao cha Mwisho wa mwaka 2024 wameomba vijana wao Bungeni akina Mkenda, Tarimo, Mollel na Ndakidemi waiombe serikali madhimisho ya Christmas yawe yanafanuika kitaifa MARANGU -Moshi na pia pombe yao ya Mbege itambuliwe kitaifa.

Jambo hili limeungwa mkono na wachagga wengi hasa waliotoka Marekani na Ulaya kuja kuhesabiwa na pia kutoa hesabu ya walichokuwa wanafanya huko.

Wanapeana fursa, ajira na kuonyana.
CHAGGA.jpeg
 
Sikukuu ya Christmas ambayo ni kumbukizi ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo [Mungu] ambaye alizaliwa Israel katika mki wa Bethlehemu , miaka 2024 iliyopita.

Wachagga, katika kikao chao cha Mwisho wa mwaka 2024 wameomba vijana wao Bungeni akina Mkenda, Tarimo, Mollel na Ndakidemi waiombe serikali madhimisho ya Christmas yawe yanafanuika kitaifa MARANGU -Moshi na pia pombe yao ya Mbege itambuliwe kitaifa.

Jambo hili limeungwa mkono na wachagga wengi hasa waliotoka Marekani na Ulaya kuja kuhesabiwa na pia kutoa hesabu ya walichokuwa wanafanya huko.

Wanapeana fursa, ajira na kuonyana.View attachment 3185709
Kweli aisee.....watu wenye hela tuwaunge mkono
 
Wayahudi wenyewe alipozaliwa yesu hawasheherekei hiyo mambo hizi dini za kuletewa ndo zimeharibu watu
 
Mangi Kula pombe kistaarabu Una Siri za watu.

Anyway huu mwezi Moshi ni pombe na nyama tu, Haloo!
 
Sikukuu ya Christmas ambayo ni kumbukizi ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo [Mungu] ambaye alizaliwa Israel katika mki wa Bethlehemu , miaka 2024 iliyopita.

Wachagga, katika kikao chao cha Mwisho wa mwaka 2024 wameomba vijana wao Bungeni akina Mkenda, Tarimo, Mollel na Ndakidemi waiombe serikali madhimisho ya Christmas yawe yanafanuika kitaifa MARANGU -Moshi na pia pombe yao ya Mbege itambuliwe kitaifa.

Jambo hili limeungwa mkono na wachagga wengi hasa waliotoka Marekani na Ulaya kuja kuhesabiwa na pia kutoa hesabu ya walichokuwa wanafanya huko.

Wanapeana fursa, ajira na kuonyana.View attachment 3185709
Natumai watakuwa kwenye mchakato.
 
Back
Top Bottom