Serikali kuondoa mfumo wa kuuza madeni kwa watumishi kutoka bank moja kwenda nyingine sio haki ni kuhatarisha malengo ya watumishi

Serikali kuondoa mfumo wa kuuza madeni kwa watumishi kutoka bank moja kwenda nyingine sio haki ni kuhatarisha malengo ya watumishi

CAMANGA

Member
Joined
May 14, 2023
Posts
72
Reaction score
299
Nimetembea Kila bank wamekataa kununua deni wakidai mfumo wa kununua na kuuza madeni umeondolewa mpaka pale watakapo uunganisha na PEPMIS. Ni muda Sasa na bado hawajawezesha msimu wa kilimo ndo huo umeingia na pesa hakuna

Mtu unategemea ufaulishe deni Ili upate tu-cent serikali nayo inakubania

Tusaidieni kwa Hilo watumishi wengi tunateseka
 
Back
Top Bottom