Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Anapotokea mtu akapandisha kodi ya Mafuta akashusha kodi ya Vinywaji na wananchi wakaridhika inaonesha ni jinsi gani tuna taifa la kinafiki kwa kiwango kikubwa.
Kuna wale wauaji ambao huwa wana sura za upole na hawajengi makunyanzi wakati wakitaka kutimiza malengo yao.
Hawa wanaweza kukubembeleza kuwalaza shingo hapa, laza baba/mama eeeeenheeh laza taratibu usiumie. Weka vizuri shingo yako ili nikipiga panga nisiguse kichwa chako" Huku anakukanda kanda shingoni na kukutomasa tomasa, ukija shtuka ameshusha panga. Umekufa.
Serikali ya kijambazi inaongeza kodi/mzigo kwa wananchi pasipo kuwajali wataishije. Unapoongeza kodi kwenye mafuta unaathiri wananchi wote kuanzia wakulima, wafugaji hadi wafanya biashara.
Mwanachi huyu huyu unamwongezea kodi kwenye matumizi yake ya simu na bado unakuja mpa mzigo mwingine kwenye mafuta. Sisi ni wendawazimu. Sisi ni matahira. Tunanyamaza.
Hawa wanaongeza kodi magari wanayotumia tunawalipia sisi mafuta hawana hasara. Tupambane katika hili. Huu ujambazi wa Serikali upigiwe kelele.
Kuna wale wauaji ambao huwa wana sura za upole na hawajengi makunyanzi wakati wakitaka kutimiza malengo yao.
Hawa wanaweza kukubembeleza kuwalaza shingo hapa, laza baba/mama eeeeenheeh laza taratibu usiumie. Weka vizuri shingo yako ili nikipiga panga nisiguse kichwa chako" Huku anakukanda kanda shingoni na kukutomasa tomasa, ukija shtuka ameshusha panga. Umekufa.
Serikali ya kijambazi inaongeza kodi/mzigo kwa wananchi pasipo kuwajali wataishije. Unapoongeza kodi kwenye mafuta unaathiri wananchi wote kuanzia wakulima, wafugaji hadi wafanya biashara.
Mwanachi huyu huyu unamwongezea kodi kwenye matumizi yake ya simu na bado unakuja mpa mzigo mwingine kwenye mafuta. Sisi ni wendawazimu. Sisi ni matahira. Tunanyamaza.
Hawa wanaongeza kodi magari wanayotumia tunawalipia sisi mafuta hawana hasara. Tupambane katika hili. Huu ujambazi wa Serikali upigiwe kelele.