Wewe ndu huelewi lakini unajiona unaelewa sana. Mleta mada yuko sahihi, posho za chakula/vinywaji haziruhusiwi kukopewa Benki na mwajiri hatapitisha mkopo huo. Hakuna mkopo unatolewa na benki kwa mtumishi bila kuidhinishwa na Mwajiri hivyo kusema mkopo ni wa pande 2 pekee siyo sahihi.Mleta mada hujielewi kabisa mkopo Ni Kati ya mkopaji na mkopeshaji tu hakuna mtu wa tatu
Mwajiri au Benki kuu hawawezi kuingilia hiyo process
Kwa ulivyoandika unaonyesha umelenewa na madeni pesa unapeleka wapi? Unafanyia Nini Cha maana?
Mshahara tuu unatosha . Wakikopea kila kitu wanaanza kuwa na tamaa na kuanza kutafuta rushwa ili waweze kuendesha maisha YaoKwa wale watumishi wa umma ambao taasisi zao huwalipa posho kila mwezi(mfano JWTZ, Polisi, n.k), wakati umefika waruhusiwe kukopa kupitia posho hizo kwa kukatwa sehemu ya posho zao kulipa mikopo watayochukua.
Tofauti na mikopo kupitia mishahara ambayo huwa ni ya muda mrefu (miaka 7 mpaka 8), mikopo kupitia allowance za kila mwezi, inaweza kuwa ni ya muda mfupi (mfano miezi 6 mpaka miaka 2).
Hii ni kwasababu, mishahara serikalini ni midogo na wakati huo huo, watumishi wananabwa na sheria inayowataka wabaki na walau moja ya tatu ya mishahara yao baada ya makato yote yakiwemo makato ya lazima kama Bima na ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.
Matokeo ya hali hii ni watumishi kupata mikopo midogo isiyolingana na mahitaji yao, na kuwafanya wengi kukimbilia katika microfinance ambazo licha ya kutowapa mikopo mikubwa, bali hutoa mikopo yenye riba kubwa na hata kufanya ile dhana ya mtumishi kubaki na moja ya tatu kuwa ni nadharia tu kwani mtumishi hulazimika kutumia mshahara huo huo kulipa mikopo ya mabenki na ya hizi financial institutions.
Hivyo, kwa wale watumishi wanaoweza kukopa kupitia posho zao za kila mwezi ambazo nazo hulipwa kupitia akaunti zao katika mabenki, wakati umefika waruhusiwe kukopa mikopo ya muda mfupi kupitia allowance zao za kila mwezi.
Tena, kama inawezekan, mtumishi aruhusiwe kutumia mshahara na allowance yake vyote kwa pamoja kupata mkopo na kwenye allowance, mtumishi aruhusiwe hata kukopea allowance yote mradi kaamua mwenyewe.
Mfano, mtumish ana allowance ya shilingi 300,000 kwa mwezi, na kupitia mshahara wake, anaweza pia kutumia shilingi 200,000 kukopea, maana yake mtumishi kama huyu, akiamua, anaweza kutumia shilingi 200,000 ya posho na hiyo 200,000 ya mshahara wke akapata jumla ya shilingi 400,000 kwa mwezi, kiasi anachoweza kwenda Benki na akachukua mkopo wa muda mfupi na akapata hela nzuri tu na akafanya mambo yake?
Jambo hili mimi naamini linawezekana iwapo serikali kupitia BOT, Utumishi na mabenki, watakaa pamoja na kulifanyia kazi wazo hili.
Watumishi wengi kwa sasa hawakopesheki katika mabenki kutona na sheria ya moja ya tatu(tusisahau pia kwa miaka 6 mshahara haijaongezwa) na hata wengi wa wanaokopesheke huishia kuchukua mkopo juu ya mkopo mwingine(top- up) na matokeo ni watu kupata vihela vidogo visivyokidhi mahitaji yao.
Mwisho, sheria ya mtumishi kutakiwa kubaki na moja ya tatu ya mshahara wake, nayo ipitiwe upya kwani haikuzingatia tofauti ya mishahara iliyopo baina ya watumishi na uhuru wa mtumishi kutumia mshahara wake kadri anayotoka.
Pia, kwakuwa mishahara serikalini ni midogo na haikidhi mahitaji, serikali iwaache watumishi kuamua ni namna gani watatumia mishahara yao kuendesha maisha yao.
Kumjali mtumishi sio kwa kumuwekea sheria ya kumlazimisha kubaki na moja ya tatu ya basic salary yake, bali ni kwa kuboresha masilahi yake( mtu miaka 6 mshahara ule ule halafu bado unampangia matumizi?).Haingii akilini.
CC: mwigulu nchemba
Amenikera sana huyu bavicha,anataka wanajeshi waishi kama walimu? Maana walimu wanakopa benki na bado wanakopa mtaani wanaacha kadi.Matokeo yake wanaishi maisha ya hovyo sana.Kifupi mleta mada umefilisika kifedha
Kufilisika kifedha kuko hivi unakuwa na madeni makubwa kuliko kipato chako .Wewe hiyo stage umeshaifikia .Hebu fikiria unawaza kukopea Hadi posho ya chakula na mavazi eti ikifika mwisho wa mwezi unamwambia mkopeshaji rejesho nikate posho ya chakula na mavazi matokeo yake utabaki uchi sababu huna hela ya mavazi na utakufa njaa!!!
Kifupi wewe umeshafilisika Uko bankrupt
Na ndio kinachowatesa maana ukichukua mkopo ukafanyia la maana huteseki, ila majority ya watumishi huchukua mkopo n kutumia vibaya Matokeo Yao ni kuishi kwa shida na madeni dailyNi kweli wengi wa me over borrow
Kimeuma! Wewe si huwa unajifanya mjanja kupinga wazalendo wa nchi hiiKwa wale watumishi wa umma ambao taasisi zao huwalipa posho kila mwezi(mfano JWTZ, Polisi, n.k), wakati umefika waruhusiwe kukopa kupitia posho hizo kwa kukatwa sehemu ya posho zao kulipa mikopo watayochukua.
Tofauti na mikopo kupitia mishahara ambayo huwa ni ya muda mrefu (miaka 7 mpaka 8), mikopo kupitia allowance za kila mwezi, inaweza kuwa ni ya muda mfupi (mfano miezi 6 mpaka miaka 2).
Hii ni kwasababu, mishahara serikalini ni midogo na wakati huo huo, watumishi wananabwa na sheria inayowataka wabaki na walau moja ya tatu ya mishahara yao baada ya makato yote yakiwemo makato ya lazima kama Bima na ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.
Matokeo ya hali hii ni watumishi kupata mikopo midogo isiyolingana na mahitaji yao, na kuwafanya wengi kukimbilia katika microfinance ambazo licha ya kutowapa mikopo mikubwa, bali hutoa mikopo yenye riba kubwa na hata kufanya ile dhana ya mtumishi kubaki na moja ya tatu kuwa ni nadharia tu kwani mtumishi hulazimika kutumia mshahara huo huo kulipa mikopo ya mabenki na ya hizi financial institutions.
Hivyo, kwa wale watumishi wanaoweza kukopa kupitia posho zao za kila mwezi ambazo nazo hulipwa kupitia akaunti zao katika mabenki, wakati umefika waruhusiwe kukopa mikopo ya muda mfupi kupitia allowance zao za kila mwezi.
Tena, kama inawezekan, mtumishi aruhusiwe kutumia mshahara na allowance yake vyote kwa pamoja kupata mkopo na kwenye allowance, mtumishi aruhusiwe hata kukopea allowance yote mradi kaamua mwenyewe.
Mfano, mtumish ana allowance ya shilingi 300,000 kwa mwezi, na kupitia mshahara wake, anaweza pia kutumia shilingi 200,000 kukopea, maana yake mtumishi kama huyu, akiamua, anaweza kutumia shilingi 200,000 ya posho na hiyo 200,000 ya mshahara wke akapata jumla ya shilingi 400,000 kwa mwezi, kiasi anachoweza kwenda Benki na akachukua mkopo wa muda mfupi na akapata hela nzuri tu na akafanya mambo yake?
Jambo hili mimi naamini linawezekana iwapo serikali kupitia BOT, Utumishi na mabenki, watakaa pamoja na kulifanyia kazi wazo hili.
Watumishi wengi kwa sasa hawakopesheki katika mabenki kutona na sheria ya moja ya tatu(tusisahau pia kwa miaka 6 mshahara haijaongezwa) na hata wengi wa wanaokopesheke huishia kuchukua mkopo juu ya mkopo mwingine(top- up) na matokeo ni watu kupata vihela vidogo visivyokidhi mahitaji yao.
Mwisho, sheria ya mtumishi kutakiwa kubaki na moja ya tatu ya mshahara wake, nayo ipitiwe upya kwani haikuzingatia tofauti ya mishahara iliyopo baina ya watumishi na uhuru wa mtumishi kutumia mshahara wake kadri anayotoka.
Pia, kwakuwa mishahara serikalini ni midogo na haikidhi mahitaji, serikali iwaache watumishi kuamua ni namna gani watatumia mishahara yao kuendesha maisha yao.
Kumjali mtumishi sio kwa kumuwekea sheria ya kumlazimisha kubaki na moja ya tatu ya basic salary yake, bali ni kwa kuboresha masilahi yake( mtu miaka 6 mshahara ule ule halafu bado unampangia matumizi?).Haingii akilini.
CC: mwigulu nchemba
Kwanini uangaike na mkopo ikiwa una fedha zako PSSF au NSSF kwanini isitungwe sheria mtu awe na uwezo wa kuchukua nusu ya alichochangia akihitaji sio kusubiri mpaka akaribie kufa ndio apewe haki yakeKwa wale watumishi wa umma ambao taasisi zao huwalipa posho kila mwezi(mfano JWTZ, Polisi, n.k), wakati umefika waruhusiwe kukopa kupitia posho hizo kwa kukatwa sehemu ya posho zao kulipa mikopo watayochukua.
Tofauti na mikopo kupitia mishahara ambayo huwa ni ya muda mrefu (miaka 7 mpaka 8), mikopo kupitia allowance za kila mwezi, inaweza kuwa ni ya muda mfupi (mfano miezi 6 mpaka miaka 2).
Hii ni kwasababu, mishahara serikalini ni midogo na wakati huo huo, watumishi wananabwa na sheria inayowataka wabaki na walau moja ya tatu ya mishahara yao baada ya makato yote yakiwemo makato ya lazima kama Bima na ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.
Matokeo ya hali hii ni watumishi kupata mikopo midogo isiyolingana na mahitaji yao, na kuwafanya wengi kukimbilia katika microfinance ambazo licha ya kutowapa mikopo mikubwa, bali hutoa mikopo yenye riba kubwa na hata kufanya ile dhana ya mtumishi kubaki na moja ya tatu kuwa ni nadharia tu kwani mtumishi hulazimika kutumia mshahara huo huo kulipa mikopo ya mabenki na ya hizi financial institutions.
Hivyo, kwa wale watumishi wanaoweza kukopa kupitia posho zao za kila mwezi ambazo nazo hulipwa kupitia akaunti zao katika mabenki, wakati umefika waruhusiwe kukopa mikopo ya muda mfupi kupitia allowance zao za kila mwezi.
Tena, kama inawezekan, mtumishi aruhusiwe kutumia mshahara na allowance yake vyote kwa pamoja kupata mkopo na kwenye allowance, mtumishi aruhusiwe hata kukopea allowance yote mradi kaamua mwenyewe.
Mfano, mtumish ana allowance ya shilingi 300,000 kwa mwezi, na kupitia mshahara wake, anaweza pia kutumia shilingi 200,000 kukopea, maana yake mtumishi kama huyu, akiamua, anaweza kutumia shilingi 200,000 ya posho na hiyo 200,000 ya mshahara wke akapata jumla ya shilingi 400,000 kwa mwezi, kiasi anachoweza kwenda Benki na akachukua mkopo wa muda mfupi na akapata hela nzuri tu na akafanya mambo yake?
Jambo hili mimi naamini linawezekana iwapo serikali kupitia BOT, Utumishi na mabenki, watakaa pamoja na kulifanyia kazi wazo hili.
Watumishi wengi kwa sasa hawakopesheki katika mabenki kutona na sheria ya moja ya tatu(tusisahau pia kwa miaka 6 mshahara haijaongezwa) na hata wengi wa wanaokopesheke huishia kuchukua mkopo juu ya mkopo mwingine(top- up) na matokeo ni watu kupata vihela vidogo visivyokidhi mahitaji yao.
Mwisho, sheria ya mtumishi kutakiwa kubaki na moja ya tatu ya mshahara wake, nayo ipitiwe upya kwani haikuzingatia tofauti ya mishahara iliyopo baina ya watumishi na uhuru wa mtumishi kutumia mshahara wake kadri anayotoka.
Pia, kwakuwa mishahara serikalini ni midogo na haikidhi mahitaji, serikali iwaache watumishi kuamua ni namna gani watatumia mishahara yao kuendesha maisha yao.
Kumjali mtumishi sio kwa kumuwekea sheria ya kumlazimisha kubaki na moja ya tatu ya basic salary yake, bali ni kwa kuboresha masilahi yake( mtu miaka 6 mshahara ule ule halafu bado unampangia matumizi?).Haingii akilini.
CC: mwigulu nchemba
Kikubwa unapaswa kuelewa historia ya utoaji wa mikopo Tanzania,Kwa wale watumishi wa umma ambao taasisi zao huwalipa posho kila mwezi(mfano JWTZ, Polisi, n.k), wakati umefika waruhusiwe kukopa kupitia posho hizo kwa kukatwa sehemu ya posho zao kulipa mikopo watayochukua.
Tofauti na mikopo kupitia mishahara ambayo huwa ni ya muda mrefu (miaka 7 mpaka 8), mikopo kupitia allowance za kila mwezi, inaweza kuwa ni ya muda mfupi (mfano miezi 6 mpaka miaka 2).
Hii ni kwasababu, mishahara serikalini ni midogo na wakati huo huo, watumishi wananabwa na sheria inayowataka wabaki na walau moja ya tatu ya mishahara yao baada ya makato yote yakiwemo makato ya lazima kama Bima na ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.
Matokeo ya hali hii ni watumishi kupata mikopo midogo isiyolingana na mahitaji yao, na kuwafanya wengi kukimbilia katika microfinance ambazo licha ya kutowapa mikopo mikubwa, bali hutoa mikopo yenye riba kubwa na hata kufanya ile dhana ya mtumishi kubaki na moja ya tatu kuwa ni nadharia tu kwani mtumishi hulazimika kutumia mshahara huo huo kulipa mikopo ya mabenki na ya hizi financial institutions.
Hivyo, kwa wale watumishi wanaoweza kukopa kupitia posho zao za kila mwezi ambazo nazo hulipwa kupitia akaunti zao katika mabenki, wakati umefika waruhusiwe kukopa mikopo ya muda mfupi kupitia allowance zao za kila mwezi.
Tena, kama inawezekan, mtumishi aruhusiwe kutumia mshahara na allowance yake vyote kwa pamoja kupata mkopo na kwenye allowance, mtumishi aruhusiwe hata kukopea allowance yote mradi kaamua mwenyewe.
Mfano, mtumish ana allowance ya shilingi 300,000 kwa mwezi, na kupitia mshahara wake, anaweza pia kutumia shilingi 200,000 kukopea, maana yake mtumishi kama huyu, akiamua, anaweza kutumia shilingi 200,000 ya posho na hiyo 200,000 ya mshahara wke akapata jumla ya shilingi 400,000 kwa mwezi, kiasi anachoweza kwenda Benki na akachukua mkopo wa muda mfupi na akapata hela nzuri tu na akafanya mambo yake?
Jambo hili mimi naamini linawezekana iwapo serikali kupitia BOT, Utumishi na mabenki, watakaa pamoja na kulifanyia kazi wazo hili.
Watumishi wengi kwa sasa hawakopesheki katika mabenki kutona na sheria ya moja ya tatu(tusisahau pia kwa miaka 6 mshahara haijaongezwa) na hata wengi wa wanaokopesheke huishia kuchukua mkopo juu ya mkopo mwingine(top- up) na matokeo ni watu kupata vihela vidogo visivyokidhi mahitaji yao.
Mwisho, sheria ya mtumishi kutakiwa kubaki na moja ya tatu ya mshahara wake, nayo ipitiwe upya kwani haikuzingatia tofauti ya mishahara iliyopo baina ya watumishi na uhuru wa mtumishi kutumia mshahara wake kadri anayotoka.
Pia, kwakuwa mishahara serikalini ni midogo na haikidhi mahitaji, serikali iwaache watumishi kuamua ni namna gani watatumia mishahara yao kuendesha maisha yao.
Kumjali mtumishi sio kwa kumuwekea sheria ya kumlazimisha kubaki na moja ya tatu ya basic salary yake, bali ni kwa kuboresha masilahi yake( mtu miaka 6 mshahara ule ule halafu bado unampangia matumizi?).Haingii akilini.
CC: mwigulu nchemba
Hilo nalijua sanmkuu posho/allowances zinaweza kusitishwa any time mambo yakiwa magumu, sasa unawezaje kukopa kupitia income ambayo haina uhakika kwamba mwakani itakuwepo?
Posho nazizungumzia hapa ni zile za kila mwezi tana ambazo ni sawa na mshahara wa mtu na sio zile za safari,vikao. Hizi nazoongelea zipo kwa baadhi ya taasisi na hutoka lila mwezi kwa wafanyakazi wote.Kwanini uangaike na mkopo ikiwa una fedha zako PSSF au NSSF kwanini isitungwe sheria mtu awe na uwezo wa kuchukua nusu ya alichochangia akihitaji sio kusubiri mpaka akaribie kufa ndio apewe haki yake
Attack hoja yake na siyo maisha yake binafsi mkuu.Kifupi mleta mada umefilisika kifedha
Kufilisika kifedha kuko hivi unakuwa na madeni makubwa kuliko kipato chako .Wewe hiyo stage umeshaifikia .Hebu fikiria unawaza kukopea Hadi posho ya chakula na mavazi eti ikifika mwisho wa mwezi unamwambia mkopeshaji rejesho nikate posho ya chakula na mavazi matokeo yake utabaki uchi sababu huna hela ya mavazi na utakufa njaa!!!
Kifupi wewe umeshafilisika Uko bankrupt
Swali la msingi la kujiuliza,Je, mtumishi akiamishwa ndani ya mwezi mmoja kwenda taasisi nyingine ya serikali ambayo haina marupurupu repercussion yake kwenye utaratibu wa 1/3 wa Basic pay kama take-home itakuweje?Hilo nalijua san
Posho nazizungumzia hapa ni zile za kilawezi tana ambazo ni sawa na mshahara wa mtu na sio zile za safari,vikao. Hizi nazoongelea zipo kwa baadhi ya taasisi na hutoka lila mwezi kwa wafanyakazi wote.
Kama unaweza kuchukulia mkopo wa muda mfupi(miezi 6 au 9) ukafanya mambo yako,shida iko wapi?
Tuacha kuishi kwa maziea. Hata salary advance ni ubunifu wa watu na unasaidia wengi.
Hilo PSSF na NSSSF pia watakupinga tu kwa hoja unataka wastaafu hela zao zianze kutumika kabla hawahastaafu.
Sasa hiyo moja ya tatu kwanini iwe ni kwa watumishi wote ili hali tofauti ya mishahara ni kubwa mno serikalini?Kikubwa unapaswa kuelewa historia ya utoaji wa mikopo Tanzania,
1-Mwanzoni kabisa watumishi walikuwa wanakopa karibu mshahara wote-Hii ilipelekea maisha magumu mno na malalamiko makubwa miongoni mwa watumishi wenyewe na kuipelekea serikali kuanzisha utaratibu wa 1/3 ya Basic pay ya mtumishi isiwe inakopesheka ili kuhakikisha mfanyakazi anakuwa na utulivu kazini nk.
2-Marupurupu hayapo guaranteed na sheria,hvyo mtumishi anaweza kuyapoteza wakati wowote ule katika utumishi wake-Sasa kama mtumishi alikopea hadi marupurubu na ikafika wakati akayapoteza itapelekea kuathiri sheria ya 1/3 ya Basic pay na hvyo kurudisha tatizo mwanzoni kabisa.
Umemwaga points sana chiefIla wewe jamaa unastahili kabisa nushaninya KULALAMIKA.
Wanaoishi na wewe nawapongeza sana.
Unalalamikia kila kitu yaani.
Anyway, kuhusu mtumishi kubaki na 1/3 ya mshahara wake ni muhimu zaidi kwa kwake.
Kwani serikali inapata faida gani kuhakaikisha mtumishi anabakiwa na 1/3 ya mshahara wake??
Kuna kipindi nilienda Tanga mwaka 2014 nilikuta kuna watumishi wamekopa mpaka hawapati mshahara hata 100!!!
Sasa kwa mtu asiyepata mshahara anaishi vipi, na kazi atafanyaje ??
Hapo ndipo maDED wakataka kila mtumishi akitaka kukopa barua yake ipite kwao waone baada ya kukopa watabakiwa na kiasi gani ili kuepusha huo utaahira.
Leo umekopa mshahara umeisha unataka eti kukopea mpaka posho, hii ni akili timamu kweli ??
Kwanza kwa taratibu za wanajeshi, hakuna posho tu.
Hakuna just posho tu. Watu wqnapewa pesa kwaajili ya vinywaji. Suala la wewe kuinadilishia matumizi ni wewe sasa unataka Jeshi wao ndio wabadilishe matumizi ?
Suala la pesa ya vinywaji siyo mshahara na wanaweza kuamua pia kuitoa kwa njia nyingine kama ilivyowahi kutolewa huko nyuma.
Yaani mtu, umeokopea mshahara umemaliza, hakuna ulichofanya, umekopa salary advance umemaliza. Umechukua ATM kadi umeweka bond umekopa mtaani umemaliza na saa unataka kukopea posho umalize.
Baada ya hapo uanze kulaumu serikali.
Aiseee. Binadamuuu
Hivi vitu ili upate majibu sahihi ni lazima ufikirie objectively kwa kujua historia ya 1/3 and etc,haikuja kirahisi-There is a logic behind it.Sasa hiyo moja ya tatu kwanini iwe ni kwa watumishi wote ili hali tofauti ya mishahara ni kubwa mno serikalini?
Mimi ndio maana nasema watanzania ni wavivu wa kufikiri na ni watu wa kuishi kwa kukariri na kukaririshwa.
Mfano, mtu mwenye basic ya shilingi 2,000,0000 au 1,500,0000, kwaninii abanwe na sheria moja na mtu mwenye basic ya shilingi 500,000 au shilingi 450,000?
Tuache uvivu wa kufikiri.
Hii ndio hoja ya msingi umetoa ila kwenye mkataba wa mkopo hilo linaweza kuwekewa makubaliano na ukumbuke hii ni mikopo ya muda mfupi tu.Swali la msingi la kujiuliza,Je, mtumishi akiamishwa ndani ya mwezi mmoja kwenda taasisi nyingine ya serikali ambayo haina marupurupu repercussion yake kwenye utaratibu wa 1/3 wa Basic pay kama take-home itakuweje?
Hiyo moja ya tatu ni hoja mfu kabisa na haina uhalisia kwani mshahara huo unabaki kwenye makaratasi tu na ukitoka sio wa mtumishi bali unaenda kulipa madeni hivyo hilo lengo halifikiwi.Hivi vitu ili upate majibu sahihi ni lazima ufikirie objectively kwa kujua historia ya 1/3 and etc,haikuja kirahisi-There is a logic behind it.
Watu walifanya research wakaja na mapendekezo ya 1/3 na ikawa acceptable na mabenki na wadau mbalimbali wakupigania haki za watumishi,leta sasa na wewe paper yako kui-move jamii kwenye mabadiliko ya hii sera zaid ya kuwa subjective.Hiyo moja ya tatu ni hoja mfu kabisa na haina uhalisia kwani mshahara huo unabaki kwenye makaratasi tu na ukitoka sio wa mtumishi bali unaenda kulipa madeni hivyo hilo lengo halifikiwi.
Hakuna mahala popote hata kwenye biashara hapa duniani utakuta collateral ina thamani ya 100M alafu ikakopesheka kwa 100M kwenye taasisi halali za kifedha,where? Let's be practicalHiyo moja ya tatu ni hoja mfu kabisa na haina uhalisia kwani mshahara huo unabaki kwenye makaratasi tu na ukitoka sio wa mtumishi bali unaenda kulipa madeni hivyo hilo lengo halifikiwi.
Soma hii itakusaidia kupanua akili.Watu walifanya research wakaja na mapendekezo ya 1/3 na ikawa acceptable na mabenki na wadau mbalimbali wakupigania haki za watumishi,leta sasa na wewe paper yako kui-move jamii kwenye mabadiliko ya hii sera zaid ya kuwa subjective.