Wewe mbona unarukaruka sana- Answer real qns in a logical waySoma hii itakusaidia kupanua akili.
Utaratibu unaotaka mtumishi wa umma kubaki na walau moja ya tatu ya mshahara wake, haukufanyiwa utafiti wa kutosha na utaratibu huu umepitwa na wakati
Kwa mujibu wa sheria na kwa kuzingatia waraka wa serikali wa March 19,2009( waraka namba: C/CE 45/271/01/01/87), mtumishi wa umma hapaswi kukatwa zaidi ya theluthi mbili ya mshahara wake.Kwa maneno mengine, anatakiwa kubaki na walau moja ya tatu ya mshahara wake baada ya makato yote ya kisheria...www.jamiiforums.com
Hilo sio tatizo la mwajiri Ni la mwajiri .Mwajiri yeye kuhakikisha unatoka ofisini kwake na mbili ya tatu ya mshahara hayo unayoenda kufanya huko nje na hiyo mbili ya tatu hayamhusuHiyo moja ya tatu ni hoja mfu kabisa na haina uhalisia kwani mshahara huo unabaki kwenye makaratasi tu na ukitoka sio wa mtumishi bali unaenda kulipa madeni hivyo hilo lengo halifikiwi.
Hahahha well said.Lengo ni kuhakikisha mtu hakopi pesa yote.
Sasa unataka kykopa pesa yote halafu utaishi vipi ???
Kwa kuomba omba ??
Kwani ukikopa mtaani pesanyoyenukaenda kulip maadeni, unakuwa unamkomoa nani ??
Mtu mzima na akili zake, kama ameahindwa kulinda maisha yake ya kipato unataka apelekwe polisi kwa kuomba omba ??
Binafsi nakubaliana na wewe,kazi ya serikali yeyote duniani ni kuhakikisha welfare njema ya watu wake wakiwemo watumishi,Hivyo ni jukumu la serikali kuhakikisha watumishi hawakopikopi hovyo hadi kuathiri utendaji wao makazini wa kuwahudumia wananchi wengine.Hilo sio tatizo la mwajiri Ni la mwajiri .Mwajiri yeye kuhakikisha unatoka ofisini kwake na mbili ya tatu ya mshahara hayo unayoenda kufanya huko nje na hiyo mbili ya tatu hayamhusu
Mbona wako wengine akipata mshahara wote anaenda kuhonga wore hawara unataka mwajiri afanyaje? Aje kukufumania na kukuambia usihonge ? Anahonga mshahara linabaki karatasi tu mfukoni Hana kitu Hilo tatizo lake na life style za hovyo za kwake
Soma na hii ikisaidie acha kukariri:Hilo sio tatizo la mwajiri Ni la mwajiri .Mwajiri yeye kuhakikisha unatoka ofisini kwake na mbili ya tatu ya mshahara hayo unayoenda kufanya huko nje na hiyo mbili ya tatu hayamhusu
Mbona wako wengine akipata mshahara wote anaenda kuhonga wore hawara unataka mwajiri afanyaje? Aje kukufumania na kukuambia usihonge ? Anahonga mshahara linabaki karatasi tu mfukoni Hana kitu Hilo tatizo lake na life style za hovyo za kwake
🤣 🤣 🤣 Serikali zenyewe zina ukomo wa kukopa,sembuse mtumishi?Lengo ni kuhakikisha mtu hakopi pesa yote.
Sasa unataka kykopa pesa yote halafu utaishi vipi ???
Kwa kuomba omba ??
Kwani ukikopa mtaani pesanyoyenukaenda kulip maadeni, unakuwa unamkomoa nani ??
Mtu mzima na akili zake, kama ameahindwa kulinda maisha yake ya kipato unataka apelekwe polisi kwa kuomba omba ??
Kama mshahara ni duni, lazima atakopa hata mitaani na ndio maana nakwambia hii sheria ya moja ya tatu iko kinadharia tu.Binafsi nakubaliana na wewe,kazi ya serikali yeyote duniani ni kuhakikisha welfare njema ya watu wake wakiwemo watumishi,Hivyo ni jukumu la serikali kuhakikisha watumishi hawakopikopi hovyo hadi kuathiri utendaji wao makazini wa kuwahudumia wananchi wengine.
Ukishaona mtumishi anakopa-kopa mtaani hovyo,ni lazima ajitathmini yeye mwenyewe kibinafsi.Hata taasisi ambazo haziangalii sheria na taratibu za nchi ni taasisi hovyo tu.Na hii nchi imefikishwa hapa na kijani kwenye mambo mengi kwa mambo ya hovyohovyo tu ikiwemo mwendazake aliyekuwa anakopakopa bila utaratibu kwa kufisha madeni halisi ili akopesheke at the expense ya wananchi wote,sasa nani atusaidie if we are not smart enough?Kama mshahara ni duni, lazima atakopa hata mitaani na ndio maana nakwambia hii sheria ya moja ya tatu iko kinadharia tu.
Mishahara ikipanda ndio itakuwa suluhu, subirini tujenge nchi.Ukishaona mtumishi anakopa-kopa mtaani hovyo,ni lazima ajitathmini yeye mwenyewe kibinafsi.Hata taasisi ambazo haziangalii sheria na taratibu za nchi ni taasisi hovyo tu.Na hii nchi imefikishwa hapa na kijani kwenye mambo mengi kwa mambo ya hovyohovyo tu ikiwemo mwendazake aliyekuwa anakopakopa bila utaratibu kwa kufisha madeni halisi ili akopesheke at the expense ya wananchi wote,sasa nani atusaidie if we are not smart enough?
Huna akili wewe,kwa hyo Serikali isitimize wajibu wake kwa kuepuka wewe kukopa mtaani?Kama mshahara ni duni, lazima atakopa hata mitaani na ndio maana nakwambia hii sheria ya moja ya tatu iko kinadharia tu.
Ukisoma Threads za mleta mada, utajua ni nini anapitia.Huna akili wewe,kwa hyo Serikali isitimize wajibu wake kwa kuepuka wewe kukopa mtaani?
Huna akili wewe kilaza ndio maana huelewi.Huna akili wewe,kwa hyo Serikali isitimize wajibu wake kwa kuepuka wewe kukopa mtaani?
Ukisoma hapa, utajua hali ya uchumi ya mleta mada siyo nzuri.Hilo sio tatizo la mwajiri Ni la mwajiri .Mwajiri yeye kuhakikisha unatoka ofisini kwake na mbili ya tatu ya mshahara hayo unayoenda kufanya huko nje na hiyo mbili ya tatu hayamhusu
Mbona wako wengine akipata mshahara wote anaenda kuhonga wore hawara unataka mwajiri afanyaje? Aje kukufumania na kukuambia usihonge ? Anahonga mshahara linabaki karatasi tu mfukoni Hana kitu Hilo tatizo lake na life style za hovyo za kwake
Wazo zuri ingawaje system yetu ya mikopo haijakaa vizuri nadhan kwa kuanzia tushushe kwanza interest rate hd single digits then tuangalie system nzuri ya kuwezesha watu kukopea hizo posho changamoto inakuja hatuna uhakika wa uendelevu wa hizo posho so risk kwa bank inakuwa kubwa Sana mfano wakuu wa shule Wana posho ya madaraka 200000 ghafla kajisahau kuhudhuria mbio za mwenge kademotiwa posho hakuna risk inabaki kwa mabankKwa wale watumishi wa umma ambao taasisi zao huwalipa posho kila mwezi(mfano JWTZ, Polisi, n.k), wakati umefika waruhusiwe kukopa kupitia posho hizo kwa kukatwa sehemu ya posho zao kulipa mikopo watayochukua.
Tofauti na mikopo kupitia mishahara ambayo huwa ni ya muda mrefu (miaka 7 mpaka 8), mikopo kupitia allowance za kila mwezi, inaweza kuwa ni ya muda mfupi (mfano miezi 6 mpaka miaka 2).
Hii ni kwasababu, mishahara serikalini ni midogo na wakati huo huo, watumishi wananabwa na sheria inayowataka wabaki na walau moja ya tatu ya mishahara yao baada ya makato yote yakiwemo makato ya lazima kama Bima na ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.
Matokeo ya hali hii ni watumishi kupata mikopo midogo isiyolingana na mahitaji yao, na kuwafanya wengi kukimbilia katika microfinance ambazo licha ya kutowapa mikopo mikubwa, bali hutoa mikopo yenye riba kubwa na hata kufanya ile dhana ya mtumishi kubaki na moja ya tatu kuwa ni nadharia tu kwani mtumishi hulazimika kutumia mshahara huo huo kulipa mikopo ya mabenki na ya hizi financial institutions.
Hivyo, kwa wale watumishi wanaoweza kukopa kupitia posho zao za kila mwezi ambazo nazo hulipwa kupitia akaunti zao katika mabenki, wakati umefika waruhusiwe kukopa mikopo ya muda mfupi kupitia allowance zao za kila mwezi.
Tena, kama inawezekan, mtumishi aruhusiwe kutumia mshahara na allowance yake vyote kwa pamoja kupata mkopo na kwenye allowance, mtumishi aruhusiwe hata kukopea allowance yote mradi kaamua mwenyewe.
Mfano, mtumish ana allowance ya shilingi 300,000 kwa mwezi, na kupitia mshahara wake, anaweza pia kutumia shilingi 200,000 kukopea, maana yake mtumishi kama huyu, akiamua, anaweza kutumia shilingi 200,000 ya posho na hiyo 200,000 ya mshahara wke akapata jumla ya shilingi 400,000 kwa mwezi, kiasi anachoweza kwenda Benki na akachukua mkopo wa muda mfupi na akapata hela nzuri tu na akafanya mambo yake?
Jambo hili mimi naamini linawezekana iwapo serikali kupitia BOT, Utumishi na mabenki, watakaa pamoja na kulifanyia kazi wazo hili.
Watumishi wengi kwa sasa hawakopesheki katika mabenki kutona na sheria ya moja ya tatu(tusisahau pia kwa miaka 6 mshahara haijaongezwa) na hata wengi wa wanaokopesheke huishia kuchukua mkopo juu ya mkopo mwingine(top- up) na matokeo ni watu kupata vihela vidogo visivyokidhi mahitaji yao.
Mwisho, sheria ya mtumishi kutakiwa kubaki na moja ya tatu ya mshahara wake, nayo ipitiwe upya kwani haikuzingatia tofauti ya mishahara iliyopo baina ya watumishi na uhuru wa mtumishi kutumia mshahara wake kadri anayotoka.
Pia, kwakuwa mishahara serikalini ni midogo na haikidhi mahitaji, serikali iwaache watumishi kuamua ni namna gani watatumia mishahara yao kuendesha maisha yao.
Kumjali mtumishi sio kwa kumuwekea sheria ya kumlazimisha kubaki na moja ya tatu ya basic salary yake, bali ni kwa kuboresha masilahi yake( mtu miaka 6 mshahara ule ule halafu bado unampangia matumizi?).Haingii akilini.
CC: mwigulu nchemba
Kuna taasisi zina posho mahususi kwa watumishi wake na hutoka kila mwezi tena ni kubwa tu kuzidi mishahara ya baadhi ya wafanyakazi katika taasisi zingine na hawa ndio nawalenga hapa.Wazo zuri ingawaje system yetu ya mikopo haijakaa vizuri nadhan kwa kuanzia tushushe kwanza interest rate hd single digits then tuangalie system nzuri ya kuwezesha watu kukopea hizo posho changamoto inakuja hatuna uhakika wa uendelevu wa hizo posho so risk kwa bank inakuwa kubwa Sana mfano wakuu wa shule Wana posho ya madaraka 200000 ghafla kajisahau kuhudhuria mbio za mwenge kademotiwa posho hakuna risk inabaki kwa mabank
Sawa sawa mkuu, ikiwa hiyo 1/3 ndio limit ya kukopea kwa sababu ili angalau wabaki na pesa ya basic needs, lakini bado kwenye hizi micro finance organisations zinawakopesha mpaka wanaacha ATM card zao, wao wanakuwa wanalindwa na sheria ipi hao wakopeshaji wa kimtaa mtaa?Kikubwa unapaswa kuelewa historia ya utoaji wa mikopo Tanzania,
1-Mwanzoni kabisa watumishi walikuwa wanakopa karibu mshahara wote-Hii ilipelekea maisha magumu mno na malalamiko makubwa miongoni mwa watumishi wenyewe na kuipelekea serikali kuanzisha utaratibu wa 1/3 ya Basic pay ya mtumishi isiwe inakopesheka ili kuhakikisha mfanyakazi anakuwa na utulivu kazini nk.
2-Marupurupu hayapo guaranteed na sheria,hvyo mtumishi anaweza kuyapoteza wakati wowote ule katika utumishi wake-Sasa kama mtumishi alikopea hadi marupurubu na ikafika wakati akayapoteza itapelekea kuathiri sheria ya 1/3 ya Basic pay na hvyo kurudisha tatizo mwanzoni kabisa.