Serikali kupitia Bunge iongeze adhabu kwa walimu wanaobaka na kulawiti!

Serikali kupitia Bunge iongeze adhabu kwa walimu wanaobaka na kulawiti!

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2015
Posts
3,436
Reaction score
7,955
Kumekuwa na wimbi la walimu kulawiti watoto na kubaka kitendo ambacho huwa kinaleta picha mbaya zaid kuliko hata wabakaji wa mtaani!


Shuleni tunategemea malezi yawe yenye umakini. Na ya kimaadili!


Shule iwe ya madrasa, sjui mafundisho makanisani, au shule za masomo ya elimu ya msingi, sekondari au chuo!

Nashauri adhabu ya hawa iongezwe iwe hata kuanzia 40 years au hata maisha na kutolewa uwezo wa kuzaa kwa walimu husika!

Cha pili tunaomba serikali ikithibitika mwalimu kabaka au kulawiti yaana ndani ya siku 7 awe ameshafungwa iwe fundisho!

Kingine takukuru watoe elimu mashuleni jinsi ya watoto kuripoti matukio haya mabaya ili kuwalinda

Mimi ikitokea nimemkamata mwalimu anafanya kitendo hiki kwa mtoto, naapa hatafika hata polisi ntalizana nae kimya kimya na tutaandaa jamvi tu kuaga tu basi
 
ubakaji ni ubakaji tu.. kama ni adhabu kuongezwa iongezwe kwa wote walimu, madaktari,polisi n.k
Tuseme adhabu iongozwe kwa kundi lolote
 
Kumekuwa na wimbi la walimu kulawiti watoto na kubaka kitendo ambacho huwa kinaleta picha mbaya zaid kuliko hata wabakaji wa mtaani!


Shuleni tunategemea malezi yawe yenye umakini. Na ya kimaadili!


Shule iwe ya madrasa, sjui mafundisho makanisani, au shule za masomo ya elimu ya msingi, sekondari au chuo!

Nashauri adhabu ya hawa iongezwe iwe hata kuanzia 40 years au hata maisha na kutolewa uwezo wa kuzaa kwa walimu husika!

Cha pili tunaomba serikali ikithibitika mwalimu kabaka au kulawiti yaana ndani ya siku 7 awe ameshafungwa iwe fundisho!

Kingine takukuru watoe elimu mashuleni jinsi ya watoto kuripoti matukio haya mabaya ili kuwalinda

Mimi ikitokea nimemkamata mwalimu anafanya kitendo hiki kwa mtoto, naapa hatafika hata polisi ntalizana nae kimya kimya na tutaandaa jamvi tu kuaga tu basi
WASIPOONGEZA RAIA TUTACHUKUA SHERIA MIKONONI TUTAWACHOMA MOTO
 
WASIPOONGEZA RAIA TUTACHUKUA SHERIA MIKONONI TUTAWACHOMA MOTO
Unaenda kasi sana

Nadhani pia unataka kutupeleka kasi kama farasi

Acha kuwaza kuchukua sheria mikononi watu wanasingiziana sana mahakama inakuja kusaidia haki itendeke
 
Kumekuwa na wimbi la walimu kulawiti watoto na kubaka kitendo ambacho huwa kinaleta picha mbaya zaid kuliko hata wabakaji wa mtaani!


Shuleni tunategemea malezi yawe yenye umakini. Na ya kimaadili!


Shule iwe ya madrasa, sjui mafundisho makanisani, au shule za masomo ya elimu ya msingi, sekondari au chuo!

Nashauri adhabu ya hawa iongezwe iwe hata kuanzia 40 years au hata maisha na kutolewa uwezo wa kuzaa kwa walimu husika!

Cha pili tunaomba serikali ikithibitika mwalimu kabaka au kulawiti yaana ndani ya siku 7 awe ameshafungwa iwe fundisho!

Kingine takukuru watoe elimu mashuleni jinsi ya watoto kuripoti matukio haya mabaya ili kuwalinda

Mimi ikitokea nimemkamata mwalimu anafanya kitendo hiki kwa mtoto, naapa hatafika hata polisi ntalizana nae kimya kimya na tutaandaa jamvi tu kuaga tu basi
Na ikiwa mjomba au baba mdogo au baba mkubwa wa mtoto wako ndio Kambaka binti yako au kamlawiti kijana wako iwejeje?
 
Back
Top Bottom