Serikali kupunguza mikopo ya nje kutokana na ongezeko la makusanyo ya ndani

Serikali kupunguza mikopo ya nje kutokana na ongezeko la makusanyo ya ndani

Billal Saadat

Senior Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
169
Reaction score
358
Serikali ya Tanzania inatarajia kupunguza kukopa mikopo ya madeni ya nje kwa asilimia 30.8. Kwa Mwaka 2023/24 Serikali inatarajia kupunguza kukopa mikopo ya madeni ya ndani kwa asilimia 23.5

Serikali inafanya hivyo kutokana na kuongezeka kwa makusanyo ya mapato ya ndani kwa asilimia zaidi ya 12.
 
Makusanyo yapi yameongezeka?ya miamala ya Benki na tozo!
 
Serikali ya Tanzania inatarajia kupunguza kukopa mikopo ya madeni ya nje kwa asilimia 30.8. Kwa Mwaka 2023/24 Serikali inatarajia kupunguza kukopa mikopo ya madeni ya ndani kwa asilimia 23.5

Serikali inafanya hivyo kutokana na kuongezeka kwa makusanyo ya mapato ya ndani kwa asilimia zaidi ya 12.
Nchi hii inavituko haki ya nani eti makusanyo ya ndani yameongezeka
 
Kama yameongezeka, katika mwaka ujao wa fedha, ilo ongezeko walitumie kuajiri walimu, wauguzi, madaktari wapya na fani nyinginezo hasa wahasibu, bankers (cashiers) wa mashule na mahospitali nk, takribani waajiriwa wapya elfu kumi. Kiwango cha ukopaji kibaki pale pale.
 
Back
Top Bottom