Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Pauline Gekul akijibu swali Bungeni amesema Kamati imeundwa kufanya tathimini ya kurejesha Ligi ya Muungano ambayo inajumuisha timu kutoka Tanzania Bara na Zanzibar.
Waziri Gekul amesema “Tumekuwa na mazungumzo kati ya TFF, BMT na ZFF kwa afya ya muungano wetu tumekubaliana ligi kurudishwa hivi karibuni.”
Waziri Gekul amesema “Tumekuwa na mazungumzo kati ya TFF, BMT na ZFF kwa afya ya muungano wetu tumekubaliana ligi kurudishwa hivi karibuni.”