Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Kuimarisha na kuhamasisha jamii kupata chanjo dhidi ya UVIKO - 19 pamoja na kuendelea kutoa elimu ya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa huo;
Sekta ya Afya inaimarisha upatikanaji wa huduma za chanjo ya UVIKO – 19 kwa:-
Kugomboa, kutunza na kusambaza takribani dozi milioni 1.16 kutoka Mpango wa COVAX Facility Initiative. Vilevile sekta itanunua chanjo dozi 311,765 iwapo zitahitajika tofauti na zile zinazotolewa na COVAX Facility.
Kuendelea kuhamasisha jamii kujikinga na maambukizi ya UVIKO - 19 na magonjwa mengine ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza.
Sekta ya Afya inaimarisha upatikanaji wa huduma za chanjo ya UVIKO – 19 kwa:-
Kugomboa, kutunza na kusambaza takribani dozi milioni 1.16 kutoka Mpango wa COVAX Facility Initiative. Vilevile sekta itanunua chanjo dozi 311,765 iwapo zitahitajika tofauti na zile zinazotolewa na COVAX Facility.
Kuendelea kuhamasisha jamii kujikinga na maambukizi ya UVIKO - 19 na magonjwa mengine ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza.