Emery Paper
JF-Expert Member
- Jun 1, 2019
- 1,427
- 2,728
Hhaahahahaha!...mie ofisini ntakuwa na kastock ka wine[emoji855]!
nahunga hoja
Wenzako mapungufu ya utawala husika huwa wanayazungumza kwa wenza wao tu tena faragha ule muda wa mapumziko ambao akili bado zinakuwa hazijarudi vizuri, sasa we unavyoanza kuonesha kuwa na wasiwasi na mamlaka iliyokuteua nakutabiria hutokuww na maisha marefu na utawala, pia sintoshangaa ukisindikizwa na kesi ya kuhujumu uchumi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ah hiyo 'sirikali' yenyewe nina mashaka nayo bhana
Katika ubora wako hahahaha
We umepewa msemaji wa Serikali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yes sirYou are far too kind.
Noblesse Oblige.
HahahahaHapo kwenye afya na mshana
Tutakunywa miti mpaka tukome
Hapana siyo CCMKwani serikali aliyotaja britanicca ni CCM?
Nipo hapa ninayeshinda kwenye vilabu .Wale wananchi ambao hatupigi kura huwa tunashinda vilabuni kwenye draft ,pooltable ,kwenye vibarua vyetu ,kwenye shughuli zetu ,mizunguko ya hapa na pale tujuane hapa
Ombi kwa mh waziri wa ujenzi aiboreshe barabara ya kuelekea jukwaa la MMU
Kubishana sio shida,shida inakuja kuwekwa kamati moja na wanakijani [emoji2][emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mdogo wangu, wewe ni 1 man army, I real can't you.!! Naanzaje!?
Kama unaweza argue na jamii ya Lizarazu, dunia simama nishuke.!!
Wenzako mapungufu ya utawala husika huwa wanayazungumza kwa wenza wao tu tena faragha ule muda wa mapumziko ambao akili bado zinakuwa hazijarudi vizuri, sasa we unavyoanza kuonesha kuwa na wasiwasi na mamlaka iliyokuteua nakutabiria hutokuww na maisha marefu na utawala, pia sintoshangaa ukisindikizwa na kesi ya kuhujumu uchumi.
Hakuna cheo cha waziri wa ulinzi na usalama wa taifa labda kwenye serikal yako ndo utakianzisha wewe
Kumsahau BAK kwa namna yoyote ile ni kosa la kiufundi.
Jf is no longer the home of great thinkers
JF ina watu wakarimu sana wenye upendo na maarifa mengi, wabobezi wa masuala mbalimbali wote wanapatikana humu, ni busara sana kuwa msikilizaji zaidi kuliko kuwa muongeaji bali pale inapobidi na hasa 'unapoguswa' kwenye eneo ambalo uko vizuri nalo, u-much know nao sio mzuri sana!Ungetajwa katika Serikali Kuu ' ungepovuka ' hivi Mkuu? Yaani kuna Watu mlivyo na Wivu na Chuki zenu britanicca ameleta tu Uzi huu ' Kimasihara ' na Kuchangamsha Baraza / Jamvi lakini mmechukulia kama ni kweli vile na Mioyo yenu imejaa Hasira. Waswahili ni Waswahili tu Siku zote. britanicca ikikupendeza kama utaunda Serikali yako nyingine tafadhali huyu PTER awe Makamu wa Rais sawa?
nahunga hoja