Serikali kuwabana zaidi waagizaji Magari yaliyotumika ili kulinda uzalishaji wa ndani

Lakini Kwa u meme wetu ambao hata kuwasha vibatari ni issue, sijui itakuwaje, watu waanze kuwa serious na solar sasa, TANESCO ni janga lingine
Kuna gari zinakuja ukicharge mara moja unakwenda km 1000 na zaidi.
Acha waendelee kupiga deals za mafuta lakini mwisho unakuja, sasa kuna yutong zile basi kubwa kabisa za umeme, kuna bajaji na toyo za mizigo za umeme, tujiandae kisaikolojia, wazungu wanasepa na kijiji.
 
Nchi inavutuko sana hii , leo kununua gari iliyotumika kwa watanzania wallowingi ni shida ,vipi ilo jipya zero km, waachane na maigizo soko ndo litaamua na mwananchi ataamua akimbilie wapi, huwezi nunua mtumba wakati gari mpya inanunulika
 
Nchi nzima tutegemee mzalishaji mmoja?
Yale yale ya Mwendokasi.
Awaite na Toyota waje,magari ya Kihindi tutasumbuana
 

India kwenyewe best selling cars Suzuki brands ndio zinaongoza.

Katika top 10 selling cars 7 ni Suzuki models, brand za magari ya India ni mawili 2 tena zipo nafasi ya 6 na 9 (kama magari yao ni reliable hivyo siyangeanza kuaminiwa na wahindi wenyewe kwanza).

Soko lao la second hand cars India lina value ya $24 billion na lina kadiriwa kufika $43 billion baada ya miaka 10.

Hawa ndio watu wakufanya Tanzania iweke ugumu wa kuagiza magari kweli.

Akili za viongozi wa Tanzania zina reflect wananchi, hata ukisikiliza wafanyabiashara wa Tanzania mtu akianza kuzalisha bati, vifaranga (au chochote) utasikia ohh serikali izuie imports inaua soko la ndani.

Concepts za free market ya choice, affordability ya mlaji, competition haipo kabisa.

Sasa hapo utamlaumu muhindi kupewa favourable condition au mapoyoyo yasiyo na uwezo tunayoyapa nafasi kushika sentive posts za nchi.
 
Ni waongo hao, sera ya magari ni maelekezo toka nchi za mabepari ni kama ilivyo mitumba ya nguo au kama ulivyo Ushoga ukitaka kuona mziki wake kiongozi wa nchi za kiafrika asimame jukwaani kupiga marufuku hivyo vitu viwili halafu uone nini kitafuata kesho yake. Au mfano mdogo tu, agiza gari jipya huo ushuru utalipa mara 3 au zaidi ya yule aliyenunua used, na hii ni kwa nchi zote masikini hasa Africa.
 
Hivi huyu mama magari yanayo tengenezwa na Mahindra anayajua? Wenye mnaangaliaga picha za kihindi mnayajua. Bora gari ya mjapani Tena Mitsubishi ya miaka 30 kuliko Mahindra toleola Jana.
Ni vichekesho.
 


Sijawahi na sitawahi kuwa positive na mambo ya serikali ya ccm yanayofanana na uwekezaji na kutegemea anything positive. Wa Tanzania tutaumia tu kwenye kila jambo serikali linalolisema ni jema
 
After all 10 bilioni is merely 4 million us dollars.
Hii Ni hela ndogo Sana kuweza kubadilisha Sera za nchi. Hii hela 4 mln USD mtu yoyote mwenye gorofa Kariakoo au Manzese anayo. Yaani Ni hela ya kununua V8 ishirini tu.
 
Nchi hii imekosa viongozi sahihi
Kitila mkumbo asikurupuke kwa hili, je magari yatakayo tengenezwa yatakuwa eco and environmental friendly? Future na maazimio ya kimataifa yanasemaje?,
Uprofesa wa ajabu sana, wangapi wenye uwezo wa kununua gari mpya?waliopo waliopo kwenye serekalini labia ndio wenye uwezo wa kumudu gari mpya mpya,ameshajisahau kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…