NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Waanze na wabunge,majaji,polisi na watendaji wa kata vijiji nk.chanzo gazeti la mwananchi la jana 19 Dec 2024
Ila mimi kwa mawazo yangu waache kuonea watumishi wa umma.Wangeenda mbali zaidi na Wanasiasa hadi Bungeni.
kuna baadhi ya mambo wanapitisha mpaka unawaza wanafikiria kwa kutumia matumbo au kichwa?
Ni mambo yapi ambayo mnafikiri wabunge wetu wakati wanapitisha hawakuwa sawa?
Tiririkeni.
kweli kabisa maana najua watasema waanze na walimu maana huwa wanawaonea sana mfano ile issue ilipita eti mwalimu kabla ya kuanza kazi anapewa tena mitihani.Waanze na wabunge,majaji,polisi na watendaji wa kata vijiji nk.
Uonezi tuu,walimu wanasahaulika sana!Wakati ndio Chanzo Cha mafanikio yetu!kweli kabisa maana najua watasema waanze na walimu maana huwa wanawaonea sana mfano ile issue ilipita eti mwalimu kabla ya kuanza kazi anapewa tena mitihani.
Na vifaa vitakavyotumika vipimwe kwanza.Hao wapimaji wapimwe kwanza wao kabla hawajawapima wenzao
HakikaNa vifaa vitakavyotumika vipimwe kwanza.