Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Acha waanzishe UJINGA na UPUMBAVU umetuzidi....Ni sahihi kwa serikali kuanzisha shule zake za English medium?Kigezo gani kitatumika kupata wanafunzi wanaotakiwa kwenda kwenye hizo shule? Kuanzisha shule hizi kunaendana na wazazi kugharimia au wanakwenda bure kama shule nyingine ? Ni nchi gani ina mfumo wa shule za serikali kuwa na mfumo tofauti ya utoaji elimu kama inayokusudiwa na Tanzania?
Zinaongezwa sio kwamba zinaanzishwa kwa sababu zipo kwa zaidi ya miaka 20. Kigezo hizi Medium school za serikali zinatoza ada kidogo ya uendeshaji tofauti na private schools.Ni sahihi kwa serikali kuanzisha shule zake za English medium?Kigezo gani kitatumika kupata wanafunzi wanaotakiwa kwenda kwenye hizo shule? Kuanzisha shule hizi kunaendana na wazazi kugharimia au wanakwenda bure kama shule nyingine ? Ni nchi gani ina mfumo wa shule za serikali kuwa na mfumo tofauti ya utoaji elimu kama inayokusudiwa na Tanzania?
Zipo mbona? Kama sikosei Kuna shule pale upanga niya serikali na ni english medeaNi sahihi kwa serikali kuanzisha shule zake za English medium?Kigezo gani kitatumika kupata wanafunzi wanaotakiwa kwenda kwenye hizo shule? Kuanzisha shule hizi kunaendana na wazazi kugharimia au wanakwenda bure kama shule nyingine ? Ni nchi gani ina mfumo wa shule za serikali kuwa na mfumo tofauti ya utoaji elimu kama inayokusudiwa na Tanzania?
Jazijaanza leonhizo.Ni sahihi kwa serikali kuanzisha shule zake za English medium?Kigezo gani kitatumika kupata wanafunzi wanaotakiwa kwenda kwenye hizo shule? Kuanzisha shule hizi kunaendana na wazazi kugharimia au wanakwenda bure kama shule nyingine ? Ni nchi gani ina mfumo wa shule za serikali kuwa na mfumo tofauti ya utoaji elimu kama inayokusudiwa na Tanzania?
Kwamba?!Jazijaanza leonhizo
Wacha zianzishwe tu.Ni sahihi kwa serikali kuanzisha shule zake za English medium?Kigezo gani kitatumika kupata wanafunzi wanaotakiwa kwenda kwenye hizo shule? Kuanzisha shule hizi kunaendana na wazazi kugharimia au wanakwenda bure kama shule nyingine ? Ni nchi gani ina mfumo wa shule za serikali kuwa na mfumo tofauti ya utoaji elimu kama inayokusudiwa na Tanzania?
Ni ujinga kuzania English Medium school ndio itaokoa elimu ya Tanzania, hizi ni Idea za nchi ambayo watu wamefikia tamayi kwenye thinking capacityNi sahihi kwa serikali kuanzisha shule zake za English medium?Kigezo gani kitatumika kupata wanafunzi wanaotakiwa kwenda kwenye hizo shule? Kuanzisha shule hizi kunaendana na wazazi kugharimia au wanakwenda bure kama shule nyingine ? Ni nchi gani ina mfumo wa shule za serikali kuwa na mfumo tofauti ya utoaji elimu kama inayokusudiwa na Tanzania?
mmeachelewa nini? hizo zilizopo zimeleta mapinduzu gani ya elimu? Taifa limejaaa sana wajinga, mtu kama wewe ni useless tuWacha zianzishwe tu.
Tumechelewa sana
π€π€ππNi sahihi kwa serikali kuanzisha shule zake za English medium?Kigezo gani kitatumika kupata wanafunzi wanaotakiwa kwenda kwenye hizo shule? Kuanzisha shule hizi kunaendana na wazazi kugharimia au wanakwenda bure kama shule nyingine ? Ni nchi gani ina mfumo wa shule za serikali kuwa na mfumo tofauti ya utoaji elimu kama inayokusudiwa na Tanzania?
Mkuu jibu swali, Chadema ndio jibu? Ndio serikali??Chadema hamjawahi kua na jema ndani ya hii nchi wallah
mmeachelewa nini? hizo zilizopo zimeleta mapinduzu gani ya elimu? Taifa limejaaa sana wajinga, mtu kama wewe ni useless tu
Takataka...Ni ujinga kuzania English Medium school ndio itaokoa elimu ya Tanzania, hizi ni Idea za nchi ambayo watu wamefikia tamayi kwenye thinking capacity