Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Kwa hiyo wameongezeka kutoka wagonjwa 4 hadi wagonjwa 66 ndani ya wiki moja?"Kwa taarifa ya leo mpaka mchana, kutoka katika vituo vya kutolea huduma vya Serikali na Binafsi wagonjwa wa Corona nchini wamebaki 66 katika Mikoa 10, katika Mikoa 16 haina wagonjwa ikiwemo Arusha, Kagera, Katavi, Manyara, Pwani, Rukwa" - Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
Who declared?
Hapana kwa vipi Ndugu...Kwani wewe unatakaje?Hii nchi hii, hapana aisee
Alice in wonderland .tutaelewa SOMO tu na hizi siasa za bongo. Na si walisema mashine zinadanganya?😥
Na si kuna kiongozi alisema tusali tumeshinda corona Yaani hakuna tena covid?
Na pia ...... Anyway nisije kupanik bure.
Utakuwa ni mjinga kumwamimi mvutabangiAlice in wonderland .tutaelewa SOMO tu na hizi siasa za bongo. Na si walisema mashine zinadanganya?😥
Na si kuna kiongozi alisema tusali tumeshinda corona Yaani hakuna tena covid?
Na pia ...... Anyway nisije kupanik bure.
Aisee, umenikumbusha mbali. Umekisoma kitabu cha Alice ? Basi mimi nimekisoma nikiwa darasa la nne mwaka 1985, swahili version. Kinavutia balaa.Alice in wonderland .tutaelewa SOMO tu na hizi siasa za bongo. Na si walisema mashine zinadanganya?😥
Na si kuna kiongozi alisema tusali tumeshinda corona Yaani hakuna tena covid?
Na pia ...... Anyway nisije kupanik bure.
Wamezaliana[emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]Wametokea wapi na tulikuwa nao wanne tu?
Hapana kwa vipi Ndugu...Kwani wewe unatakaje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wametokea wapi na tulikuwa nao wanne tu?
Ni juzi tuu tuliambiwa wako wanne, maea tukaambiwa waziri Ummi ata tangaza kuisha kwa corona Tanzania. Kumbe wapo..Kumbe wapo...siasa hizi zitatupeleka pabaya