Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,046
Ndugu wanajanvi ,naomba tulisemee ili kwa nguvu zote.Serikali imekuja na mpango unaoitwa BRN il kuboresha elimu lakini hii imekua kinyume bali umegeuka na kua mpango kuaribu elimu Tanzania.Hivi kweli mtihani gani unafanyika bilan kuwa na usimamizi kabisa .Bali wanafunzi wanafanya mitahani katika vikundi na kujadiri .Nimeshudia mimi mwenyewe kabisa yaani. ..CCM mlipotufikisha sa sa basi mmearibu hii nchi kabisa.