Mmea Jr
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 798
- 1,871
Habari zenu wakuu ,,, natumaini wote mpo salama ,, wale walioamka wakiwa wagonjwa ninawaombeni duwa ,, inshallah mtakuwa salama,, na waliofikwa na misiba na majanga ya kila namna ninawaombeni muweze kuvuka salama katika nyaka hizo ngumu zilizowafika..
Kwa kipindi sasa wengi tumeshuhudia njia mbali mbali ambazo serikali imejaribu kuzitumia lakini zote hazijaa zaa matunda ,,, tatizo bado limekuwa likionekana linazidi ukubwa kadri siku mbele zinavyoyoyomaaa ,,, toka kuajiliwa moja kwa moja mpaka leo hii kufanya usahili lakini bado serikali imegonga ukutaa
Kwa upande wangu maoni yangu labda tufanye/serikali ifanye hivi ,,,
Serikali itoe waraka ,, utakao wataka walimu woteee watakaomaliza labda katika mwaka huu wa masomo katika vyuo mbali mbali nchini wajitolee ,, na walimu hawa watapaswa kujitolea kwa muda usiopungua miaka 3 (mfano tu )
Serikali ivihimize vyuo mbali mbali vinavyotoa kozi za ualimu kutuma majina ya wanafunzi walimu wotee walio mwaka wao wa mwisho wa masomo ya ualimu kwenda tamisemi ( mfano ) ..
Tamisemi kwa kutumia ule mfumo wao wa OTEAS ,, wayaweke majina hayo ya wanafunzi wa mwaka wa mwisho yaliyotumwa na vyuo mbali mbali vitoavyo course za ualimu kwenye Mfumo wao wa OTEAS ,, afu wanafunzi wotee wanaosomea ualimu baada ya kumaliza watatakiwa kuingia kwenye huo mfumo wao TAMISEMI ( OTEAS ) kwenda ku -comfirm kama wapo tayari kujitolea asiyetaka kujitolea siyo lazima ku-comfirm ,, baada ya hapo TAMISEMI waaandae orodha itakayokuwa imetoa mchanganuo juu ya
- idadi ya wahitimu waliotayari kujitolea
- mikoa waliopo ,, vyuo walivyosoma
- mikoa ambayo wangependa kujitolea
-masomo waliyosoma pindi wakiwa chuo
Tamisemi ,, ipeleke orodha hii wizara ya elimu ambayo yenyewe itajua namna ya kufanya kuwawezesha vijana hawa pindi wawapo huko kwenye maeneo yao ya kujitolea hata kwa kuomba kuongezewa bajeti na bunge ili sehemu ya bajeti iliyoongezeka itumike kwa ajili ya kuwawezesha vijana hao wakiwa huko vituoni ( of course sioni kama wizara hii kama itashindwa kulitekejeza jambo dogo hili ),, baada ya hapo wizara iipe Tamisemi kibali cha kuwapangia vijana hawa katika maeneo mbali mbali yenye uhitaji pindi vijana watakapo maliza muda wao wa kujitolea wapewe kabisa vyeti vyenye utambulisho ambavyo watavitumia hata wakati wa kuomba kazi za ualimu huko serikalini
Kama kutilia mkazo program hii Serikali sasa iweke tamko rasmi kuwa kama hutopitia hatua hii ya kujitolea kwa miaka 2 au 3 basi hautoweza kuajiliwa kama mwalimu katika shule za serikali Tanzania
Faida yake
-Serikali itakuwa umetatua tatizo la uhaba wa walimu hasa maeneo ya vijijini
- wakati mzunguko huu unaendelea ,, serikali itumie nafasi hii kupunguza mlundikano wa waalimu uliopo mtaani
- mfumo huu utasaidia kupata wanafunzi walimu wenye nia ya dhati ya kusomea ualimu
Japo hasra za mfumo huu pia zipo
Kama vile kuiongezea gharama serikali yetu nk
Nikioandika hapo ni ushauri na mtazamo wangu
Je wewe kama mtanzania ,, unaishauri serikali ichukue hatua gani ili kukabiliana na tatizo hili la ajira hasa za ualimu ???.
Kwa kipindi sasa wengi tumeshuhudia njia mbali mbali ambazo serikali imejaribu kuzitumia lakini zote hazijaa zaa matunda ,,, tatizo bado limekuwa likionekana linazidi ukubwa kadri siku mbele zinavyoyoyomaaa ,,, toka kuajiliwa moja kwa moja mpaka leo hii kufanya usahili lakini bado serikali imegonga ukutaa
Kwa upande wangu maoni yangu labda tufanye/serikali ifanye hivi ,,,
Serikali itoe waraka ,, utakao wataka walimu woteee watakaomaliza labda katika mwaka huu wa masomo katika vyuo mbali mbali nchini wajitolee ,, na walimu hawa watapaswa kujitolea kwa muda usiopungua miaka 3 (mfano tu )
Serikali ivihimize vyuo mbali mbali vinavyotoa kozi za ualimu kutuma majina ya wanafunzi walimu wotee walio mwaka wao wa mwisho wa masomo ya ualimu kwenda tamisemi ( mfano ) ..
Tamisemi kwa kutumia ule mfumo wao wa OTEAS ,, wayaweke majina hayo ya wanafunzi wa mwaka wa mwisho yaliyotumwa na vyuo mbali mbali vitoavyo course za ualimu kwenye Mfumo wao wa OTEAS ,, afu wanafunzi wotee wanaosomea ualimu baada ya kumaliza watatakiwa kuingia kwenye huo mfumo wao TAMISEMI ( OTEAS ) kwenda ku -comfirm kama wapo tayari kujitolea asiyetaka kujitolea siyo lazima ku-comfirm ,, baada ya hapo TAMISEMI waaandae orodha itakayokuwa imetoa mchanganuo juu ya
- idadi ya wahitimu waliotayari kujitolea
- mikoa waliopo ,, vyuo walivyosoma
- mikoa ambayo wangependa kujitolea
-masomo waliyosoma pindi wakiwa chuo
Tamisemi ,, ipeleke orodha hii wizara ya elimu ambayo yenyewe itajua namna ya kufanya kuwawezesha vijana hawa pindi wawapo huko kwenye maeneo yao ya kujitolea hata kwa kuomba kuongezewa bajeti na bunge ili sehemu ya bajeti iliyoongezeka itumike kwa ajili ya kuwawezesha vijana hao wakiwa huko vituoni ( of course sioni kama wizara hii kama itashindwa kulitekejeza jambo dogo hili ),, baada ya hapo wizara iipe Tamisemi kibali cha kuwapangia vijana hawa katika maeneo mbali mbali yenye uhitaji pindi vijana watakapo maliza muda wao wa kujitolea wapewe kabisa vyeti vyenye utambulisho ambavyo watavitumia hata wakati wa kuomba kazi za ualimu huko serikalini
Kama kutilia mkazo program hii Serikali sasa iweke tamko rasmi kuwa kama hutopitia hatua hii ya kujitolea kwa miaka 2 au 3 basi hautoweza kuajiliwa kama mwalimu katika shule za serikali Tanzania
Faida yake
-Serikali itakuwa umetatua tatizo la uhaba wa walimu hasa maeneo ya vijijini
- wakati mzunguko huu unaendelea ,, serikali itumie nafasi hii kupunguza mlundikano wa waalimu uliopo mtaani
- mfumo huu utasaidia kupata wanafunzi walimu wenye nia ya dhati ya kusomea ualimu
Japo hasra za mfumo huu pia zipo
Kama vile kuiongezea gharama serikali yetu nk
Nikioandika hapo ni ushauri na mtazamo wangu
Je wewe kama mtanzania ,, unaishauri serikali ichukue hatua gani ili kukabiliana na tatizo hili la ajira hasa za ualimu ???.