KERO Serikali lipeni fedha za nauli za Walimu wa Sekondari Wilaya ya Misungwi

KERO Serikali lipeni fedha za nauli za Walimu wa Sekondari Wilaya ya Misungwi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Bododo

New Member
Joined
Jan 2, 2025
Posts
1
Reaction score
0
SERIKALI LIPENI FEDHA YA NAULI YA LIKIZO YA DECEMBER 2024 WALIMU WA SEKONDARI MISUNGWI.

Hili ni jambo lisilokubalika hata kidogo, kwamba serikali ileile iwalipe ontime walimu wa shule za msingi wilaya ya Misungwi na inaamua kuwageuzia kisogo hadi leo hii walimu wa Sekondari Wilaya hiyohiyo.

Mh. Mchengerwa na Mh. Simbachawene tokeni mbele mtoe majibu ya kwanini iwe hivi. Mnaelewa maana ya fedha ya likizo?

Mnapotaka kulipa fedha ya december 2024 mwezi March 2025 mtawaruhusu watumishi hawa kwenda likizo ya december mtakapowalipa fedha zao?

ACHENI HIZO..
 
SERIKALI LIPENI FEDHA YA NAULI YA LIKIZO YA DECEMBER 2024 WALIMU WA SEKONDARI MISUNGWI.

Hili ni jambo lisilokubalika hata kidogo, kwamba serikali ileile iwalipe ontime walimu wa shule za msingi wilaya ya Misungwi na inaamua kuwageuzia kisogo hadi leo hii walimu wa Sekondari Wilaya hiyohiyo.

Mh. Mchengerwa na Mh. Simbachawene tokeni mbele mtoe majibu ya kwanini iwe hivi. Mnaelewa maana ya fedha ya likizo?

Mnapotaka kulipa fedha ya december 2024 mwezi March 2025 mtawaruhusu watumishi hawa kwenda likizo ya december mtakapowalipa fedha zao?

ACHENI HIZO..
SLO Msingi wa wilaya ya Misungwi yuko vizuri; ndio maana waalimu wa shule za msingi wamelipwa ontime.
 
Yaani natamani kila nahaka kiongozi awe Makonda mimi naamini Makonda angekuwa ndio yupo ramisemi mambo mengi tangenyookq sababu huyu bwana ni mkweli na nimpenda haki. Haingii akilini mtumishi anaenda likizo halipwi nauli yake sasa atasafiri na nini? Pia kuna wengine wanadai malimbikizo ya mishahara zaidi ya miaka mitatu ila viongozi wapo tu, hìi no dhambi mbele za muumba.
 
Back
Top Bottom