Waziri mkuu amesema magari yaliotengenezwa chini ya mwaka 2010 yasiingizwe nchini, naona tunakoelekea kumiliki gari itakuwa ujipange haswa.
Na biashara ya magari yaliondani ya nchi inaenda kukua kwa Kasi.
====================================
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema magari yaliotengenezwa chini ya mwaka 2010 yasiingizwe nchini.
“Tanzania haitakiwi kuwa dampo kwa kuleta magari yaliyopitwa na wakati, Bunge letu limeshapitisha sheria kuwa magari yote yanayoingizwa nchini yawe yametengenezwa baada ya mwaka 2010 kuja huku mbele na siyo nyuma ya hapo, huo ni wajibu wa TBS, lazima ijiridhishe na ielimishe wanaoagiza magari,” - Majaliwa.
Ameitaka Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makontena Tanzania (TICTS) kuimarisha utendaji kazi wake ikiwemo kuacha kuchelewesha ushushaji wa mizigo katika Bandari ya Dar es Salaam.
Na biashara ya magari yaliondani ya nchi inaenda kukua kwa Kasi.
====================================
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema magari yaliotengenezwa chini ya mwaka 2010 yasiingizwe nchini.
“Tanzania haitakiwi kuwa dampo kwa kuleta magari yaliyopitwa na wakati, Bunge letu limeshapitisha sheria kuwa magari yote yanayoingizwa nchini yawe yametengenezwa baada ya mwaka 2010 kuja huku mbele na siyo nyuma ya hapo, huo ni wajibu wa TBS, lazima ijiridhishe na ielimishe wanaoagiza magari,” - Majaliwa.
Ameitaka Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makontena Tanzania (TICTS) kuimarisha utendaji kazi wake ikiwemo kuacha kuchelewesha ushushaji wa mizigo katika Bandari ya Dar es Salaam.