wewe HIVI CHADEMA INAHUSIKA VIPI NA MAAMUZI YATAKAYO TOLEWA NA WAJUMBE WOTE WA BUNGE LA KATIBA?, HUJUI KITU, NIMEPOTEZA MUDA WANGU HATA KUJIBU.Mpaka sasa MH Sitta ameshaweka wazi kuwa masuala nyeti yatahusu kura ya siri, chadema walikuwa wakitetea kura ya siri.
Mimi nasema serikali mbili zikipita kwa kura ya siri nahama chadema kwa sababu moja kuu. wametetea usiri ambao unawanyima wananchi kumjua hasa msaliti wao. kero za muungano zinazoendelea kulitafuna taifa hili hatutajua akurekebisha maana hatujui kwa uhakika nani kaziunga mkono.