chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Narudia tena kueleza haya yaliyopo Kahama japo nilishakuwa mwizi nikakoswa koswa ila huu wizi kama Serikali mnatoa baraka mkisubiri vilio ndio mjifanye kutoa pole.
Hapa Kahama kuna hii kampuni sijui Alliance tena imekodi jengo la NSSF na humo ndani kuna TRA na NSSF na pia ikitazamana na Halmashauri, Mkuu wa Wilaya pamoja na kila Taasisi za Serikali.
Kiukweli hii kampuni inadanganya vijana kwa kiingilio cha laki sita alafu atafute ng'ombe mwenzake ili kurudisha pesa.
Ina maana Serikali mnabariki wizi ili kesho mjifanye kutoa pole?
Hapa Kahama kuna hii kampuni sijui Alliance tena imekodi jengo la NSSF na humo ndani kuna TRA na NSSF na pia ikitazamana na Halmashauri, Mkuu wa Wilaya pamoja na kila Taasisi za Serikali.
Kiukweli hii kampuni inadanganya vijana kwa kiingilio cha laki sita alafu atafute ng'ombe mwenzake ili kurudisha pesa.
Ina maana Serikali mnabariki wizi ili kesho mjifanye kutoa pole?