Serikali mkoa wa Mara inatarajia kuweka uraratibu wa kuwakagua Wanafunzi wa kike kama wamekeketwa

Serikali mkoa wa Mara inatarajia kuweka uraratibu wa kuwakagua Wanafunzi wa kike kama wamekeketwa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Serikali mkoa wa Mara imesema inatarajia kuweka uraratibu wa kuwakagua wanafunzi wakike kabla ya kuingia darasani , waliokekeketwa na endapo itabainika kuna mtoto kakeketwa wazazi na walimu wakuu watachukuliwa hatua za kisheria kwa kushindwa kudhibiti ukeketaji.

Chanzo: Jambo Tv

Yaani kabisa Serikali ya Mkoa wangu wa Asili wa Mara ( Musoma ) hili ndilo mmeona la Maendeleo Kwenu?

Hivi mnajitambua kisawasawa nyie?
 
Ukisikia udhalilishaji wa kijinsia na kisaikolojia ndio huu na unafanywa na watu wazima waliopitia shule.
Mbona wa kiume hamuwakagui Kama wametahiriwa?
Huu ndio ubunifu wa mkuu wa mkoa?
Mara mmepigwa na kitu kizito Sana.
 
Kwahiyo wata undo hicho kitendo (unmultilate)
 
Udhalilishaji
wakishagundua amekeketwa watarudisha hiyo sehemu iliyoondolewa?
Na hao walimu wakuu mnawaonea mtoto anafanyiwa utaratibu wa kukeketwa huko kwa siri atajuaje ?
Nisuala la kukaa na hiyo jamii kuielimisha juu ya athar za ukeketaji
 
Mi nakumbuka wakati niko sekondari tulikuwa tukirudi home aunt na bibi wanatukagua km bikira ipo au ishatolewa,, kisaikolojia ilikuwa mbaya mno mnooo,, sasa ndo naimagine hao mabinto tena wanakaguliwa shule na walimu ambao ni watu baki hivi kuna watu wanawaza kwa kutumia matako eti
 
Huyu mjeshi anawaza kwa kutumia masaburi.

Atakuwa anadhani mkoa wa mara ni gerezani, anapeleka unyampala wake.

Atakuja agomewe na katoto ka kikurya la la sita, tena kabinti.

Mara kila familia kuna mjeshi au polisi, hawatishiki na gwanda wala mikwara ya kibabe.

Wanamara mkiruhusu watoto wenu kupanua wakaguliwe nawarejeshea binti yenu bhoke, nawapenda mashemeji.
 
Mi nakumbuka wakati niko sekondari tulikuwa tukirudi home aunt na bibi wanatukagua km bikira ipo au ishatolewa,, kisaikolojia ilikuwa mbaya mno mnooo,, sasa ndo naimagine hao mabinto tena wanakaguliwa shule na walimu ambao ni watu baki hivi kuna watu wanawaza kwa kutumia matako eti
Duh walikuwa wanakaguaje madam??
 
Ukisikia udhalilishaji wa kijinsia na kisaikolojia ndio huu na unafanywa na watu wazima waliopitia shule.
Mbona wa kiume hamuwakagui Kama wametahiriwa?
Huu ndio ubunifu wa mkuu wa mkoa?
Mara mmepigwa na kitu kizito Sana.
Anayekagua kama mtoto amekeketwa na anayekeketa nani ni mdhalilishaji kijinsia?
 
Back
Top Bottom