GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Labda amevumbua namna ya kurudishia kilichoondolewaHuu ndio ubunifu wa mkuu wa mkoa?
Duh walikuwa wanakaguaje madam??Mi nakumbuka wakati niko sekondari tulikuwa tukirudi home aunt na bibi wanatukagua km bikira ipo au ishatolewa,, kisaikolojia ilikuwa mbaya mno mnooo,, sasa ndo naimagine hao mabinto tena wanakaguliwa shule na walimu ambao ni watu baki hivi kuna watu wanawaza kwa kutumia matako eti
Anayekagua kama mtoto amekeketwa na anayekeketa nani ni mdhalilishaji kijinsia?Ukisikia udhalilishaji wa kijinsia na kisaikolojia ndio huu na unafanywa na watu wazima waliopitia shule.
Mbona wa kiume hamuwakagui Kama wametahiriwa?
Huu ndio ubunifu wa mkuu wa mkoa?
Mara mmepigwa na kitu kizito Sana.
Unavua kyupi, kulala chali na kuchanua miguuDuh walikuwa wanakaguaje madam??