Serikali mnalifanyia kazi?

Mr Mayunga

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
313
Reaction score
40
Shule binafsi zinaada kubwa mno na hasa ukizingatia uchache wa shule zenyewe.Serikali nyie wenyewe ndio mnasababisha hela inashuka thamani bila yakuikomboa mfano 1$=1750 tzs.Tunahitaji haya ya fanyike
.pangeni ada elekezi kwa shule zisizo chini yenu,itakayokaidi futa usajili.
.ongezeni shule zenu(serikali)
.elimu bora kwenye shule zenu tunaitaka(serikali).
.ukaguzi kwenye shule binafsi tunautaka.
 
Aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa. Na bado itafika mahali dola itakuwa 1$ = 2500Tshs kama ilivyo £ saizi na watu wa maduka kufanya biashara kwa $ jambo ambalo ni hatari kwa mnunuzi!
 
Naona serikali ipange ada elekezi ktk sector ya Elimu. Kuanzia primary had chuo kikuu. Hii itasaidia mfumuko wa ada.
 
Naona serikali ipange ada elekezi ktk sector ya Elimu. Kuanzia primary had chuo kikuu. Hii itasaidia mfumuko wa ada.

Kwani kuna serikali hapa? Au unaishi nje ya nchi Mkuu?.
 
Nchi hii kila mtu anafanya kivyake na lwake!ni kama vile nchi haina mwenyewe!,,any way yanamwisho haya.TIME WILL TELL!
 
Hapo penye bold serikali imeshaongeza shule za kutosha tunzaoziita za kata,lakini kichekesho ni kwamba elimu inazid kudorora wamechakuchua shule za msingi,sekondari na sasa wameingilia vyuo vikuu!
Elimu bora Tanzania ni ndoto siasa zimeingilia, kila kitu maneno tu vitendo hakuna.Tanzania tunaongeza kwa elimu za majukwaan hasa pale vingozi wanapowahadaa wananchi,huku wakisifia mafanikio waliyoyafikia kwenye sekta ya elimu.
Bado nasema na nitazidi kusema Elimu bila Utaalamu ni kazi bure kwani sisi Wabongo mara nyingi hufuata kaul mbiu isemayo
"TAALUMA KWANZA UTAALAMU BAADAE"
 

Waboreshe na maslahi ya walimu amabao wapo shule za serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…