Serikali mnatudhulumu kumbukizi, nataka kumwona Ibrahim Traore Rais wa Bukina Faso

Serikali mnatudhulumu kumbukizi, nataka kumwona Ibrahim Traore Rais wa Bukina Faso

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
1737962707212.png

Huyu mwamba wa Afrika Captain Ibrahim Traore, ni mtu nilitaka kumwona machoni akiwa Dar.
Huyu Rais Traore ni nyota ya mwafrika, na kila mwafrika mwenye kujielewa angependa kumtia machoni.

Serikali ingetutengenezea wananchi, hata mahali tunaweza kumwona mwamba huyu.

Alipokuja Mandela serikali ya wakati huo ilitengeneza mazingira nami nikamtia machoni Nelson Mandeala na mkewe Winnie Mandela.

Serikali tupe raha.
 
Huyu mwamba wa Afrika Captain Ibrahim Traore, ni mtu nilitaka kumwona machoni akiwa Dar.
Huyu Rais Traore ni nyota ya mwafrika, na kila mwafrika mwenye kujielewa angependa kumtia machoni.

Serikali ingetutengenezea wananchi, hata mahali tunaweza kumwona mwamba huyu.

Alipokuja Mandela serikali ya wakati huo ilitengeneza mazingira nami nikamtia machoni Nelson Mandeala na mkewe Winnie Mandela.

Serikali tupe raha.
Akionekana na wanajeshi wa JWTZ wanaweza kuingia na wazo kuwa na wao wanaweza kama yeye, kwa hiyo atafichwa!
 
Back
Top Bottom