Serikali, msaidieni haraka Ray C kabla hatujachelewa

Informer

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2006
Posts
1,606
Reaction score
6,672
Tusichukulie poa, mtanzania mwenzetu anapitia wakati mgumu.





Asasi za kiraia pia zisaidie katika hili

UPDATE:

Ray C ametoa majibu kwa wale walioanza kumendea rambirambi zake

 
Itoshe tu kusema, kama anataka kujiua ajiue tu. Serikali haikumtuma ale sembe, Rais mtaafu JK alimtengea hadi budget lkn wapi.
 
Mwambie atuelekeze kwake tumpelekee kamba za kujinyonga au kama anataka kujiua Kwa kutumia sumu Mimi nitagharamia.....
Mtu anayetaka kujiua huwa sio muongeaji Kwenye mitandao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…