Serikali, msaidieni haraka Ray C kabla hatujachelewa

Hivi hakuna mtu wakumpiga mkuyati mpaka akiri irejeee??
Wanaume wa dar mnakwama wapi???
 
Unataka serikali imsaidie kamba au Kitu gani?
 
Kwani yuko tz huyo
Mwache ajimalize si tutaenda kula mpunga tu

Ova
 
Ngoja tusikie...

Watu wake wa karibu wana msaada gani kwake... yule jamaa yake nae?


Cc: mahondaw
 
ni miaaaka mingi sana..hatujaonana..nitakufuata huko..nikujulie hali,rooho yangu itulieeeeee...ray c dah hatariii.....
 
Hatuna cha kumsaidia zaidi ya kumtakia kila la kheri
 
Ila nyimbo zake nzuri sana


Uko wapi nikufate nambie nipajuee...sauti yake ilikuwa tamu sana
Hana kipaji chochote cha muziki zaidi ya kucopy nyimbo za kihindi..kipaji chake kipo kwenye kugawa uroda na kulewa
 
Huu ulevi wa kujitakia, ni bora wasaidiwe wengine sasa, mtu mmoja hawezi kumaliza resorces za watu 70!!
 
Mwambie atuelekeze kwake tumpelekee kamba za kujinyonga au kama anataka kujiua Kwa kutumia sumu Mimi nitagharamia.....
Mtu anayetaka kujiua huwa sio muongeaji Kwenye mitandao
Bila kusahau ni mhehe yule kwahiyo kujiua ni ushujaa kwa wanyalu.......
 
Kwa serikali imsaidie? Kwa kutaka kujiua? Ye ni nani mpka asaidiwe na serikali?
 
Rehema hayupo Bongo muda sasa! Yamemkuta yapi huko ugenini?

2019 mapigo yamekuwa mengi sana. Hili lisiongezeke kwa sasa.
 
Guys watanzania mnaroho za kichawi how can you be like that..
 
U people jaman muwe na huruma hata kidogo duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…