Serikali na Bodi ya Mikopo (HESLB), naomba ufafanuzi wa utaratibu wa kukata pesa ya mwisho ya kujikimu

Serikali na Bodi ya Mikopo (HESLB), naomba ufafanuzi wa utaratibu wa kukata pesa ya mwisho ya kujikimu

kurlzawa

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2018
Posts
16,695
Reaction score
20,633
Habari za mda huu wakubwa,

Nilikuwa naomba ufafanuzi kuhusu huu utamaduni mpya ulioanzishwa mwaka jana na serikali ya hayati magufuli ya kukata pesa ya mwisho ya kujikimu kwa kisingizio cha Corona sasa napenda kufahamu je safari hii nini kimepeleakea hilo?

Je, Rais samia ameamua kuiga kilichofanyika na mtangulizi wake?

Je, uko mabungeni mbona hamkatani posho zenu? Mnabaki kutumia Amani kama kichaka cha kuwanyamazisha majority.

Je, mnafanya ivyo sababu sikuizi wanafunzi wa vyuo vikuu asilimia 97% hawana akili timamu na wate ni wafuasi wa CCM.

NAOMBA KUWASILISHA MNAPOWAKA MNALETA LAWAMA TUNAWADAI HAWA.

View attachment 1813773
 
Poleni... mwaka flani tulienda bodi kipindi kile ipo msasasi jirani na CCBRT aisee zua vagi la kufa mtu wakaweka mpunga faster,
 
PILI Kuhusu Taharuki ya kupokea fedha kidogo tofauti na hapo awali tunaombwa kurejea mkataba wa (BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU) inaeleza kuwa inalipa wahusika kwa siku,na siku zilizobaki ni 44 kwa kila siku 8,500 jumla kuu ni 374,000 hivyo tunaombwa kuwa watulivu.

Utetezi kutoka moja ya Chuo cha hapa mjini☝️
 
PILI Kuhusu Taharuki ya kupokea fedha kidogo tofauti na hapo awali tunaombwa kurejea mkataba wa (BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU) inaeleza kuwa inalipa wahusika kwa siku,na siku zilizobaki ni 44 kwa kila siku 8,500 jumla kuu ni 374,000 hivyo tunaombwa kuwa watulivu.

Utetezi kutoka moja ya Chuo cha hapa mjini[emoji3516]
Chuo gani itakuwa IFM ndio wanakaa siku chache chuo. Hawa Heslb watatuharibia mipango, dada zetu ndio kabisa watateseka
 
Habari za mda huu wakubwa,

Nilikuwa naomba ufafanuzi kuhusu huu utamaduni mpya ulioanzishwa mwaka jana na serikali ya hayati magufuli ya kukata pesa ya mwisho ya kujikimu kwa kisingizio cha Corona sasa napenda kufahamu je safari hii nini kimepeleakea hilo?

Je, Rais samia ameamua kuiga kilichofanyika na mtangulizi wake?

Je, uko mabungeni mbona hamkatani posho zenu? Mnabaki kutumia Amani kama kichaka cha kuwanyamazisha majority.

Je, mnafanya ivyo sababu sikuizi wanafunzi wa vyuo vikuu asilimia 97% hawana akili timamu na wate ni wafuasi wa CCM.

NAOMBA KUWASILISHA MNAPOWAKA MNALETA LAWAMA TUNAWADAI HAWA.

View attachment 1813773
Daa acha kumbe kweli wanakata
 
Back
Top Bottom