SERIKALI NA CCM WANA LISSU-PHOBIA?

SERIKALI NA CCM WANA LISSU-PHOBIA?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Juzi tu hapa ccm walikuwa wanamsema MBOWE anajifanya anataka katiba mpya wakati yeye ameshindwa kuondoka madarakani Toka uchaguzi wa 1995 ni ajabu leo hii ccm imegeuka kuwa mtetezi wa mbowe swali langu je ccm na serikali yake Wana LISSU-PHOBIA?
 
Moderators naomba msifute nyuzi zangu.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
CHADEMA mkilogwa mkampa mboye kura mjue manyanyaso ya ku overstay kwenye power kutoka kwa Wana ccm yanawahusu.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Mmmh!!!! Xxsxshipsixnyooo= kiebrania😜
Pwagu na pwaguzi🤣🤣🤣
Hayupo mwenye afadhari.
Bora tusake Hela tu.
.....
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Ccm njia pekee ya ku mu win lissu ni kumpenda basi.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Juzi tu hapa ccm walikuwa wanamsema MBOWE anajifanya anataka katiba mpya wakati yeye ameshindwa kuondoka madarakani Toka uchaguzi wa 1995 ni ajabu leo hii ccm imegeuka kuwa mtetezi wa mbowe swali langu je ccm na serikali yake Wana LISSU-PHOBIA?
Last time walipata mtu kama huyo aliwaharibia mipango yao. Hawadhubutu
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom