Serikali na Jamii, Kinachoendelea TikTok hakina afya kwa vijana wadogo

Wewe ulienda kufanya nini huko?
 
jina sakasaka simuyu meatu tindabuligi
 
Mkuu wee mwenyeji sana huku bila ubishi.
Daa acha tu maisha ya utaftaji hadi huko matale mwamwhongo mwashata mwamishar, mwanindwa, mwandoya isengwa, meatu. πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ basi tu kwa bibi fulani karibia na Maluilo sijui Maruiro shikamoo nyege nimembato sana wasukuma na wanyatu.
 
Kwenye simu yangu no TikTok no Instagram kwanza zinakula sana bando afu Cha maana akuna
 
Nimecheka sana kwa sauti🀣🀣🀣
Nadhan ulikuwa mtumish mwenye nyadhifa zake, kuvuruga maeneo yote hayo hadi Mwandoya kwa Mpina!

Nadhani ulibakiza jangwani Bukundi pekee.
 
Nimecheka sana kwa sauti🀣🀣🀣
Nadhan ulikuwa mtumish mwenye nyadhifa zake, kuvuruga maeneo yote hayo hadi Mwandoya kwa Mpina!

Nadhani ulibakiza jangwani Bukundi pekee.
 
Nimecheka sana kwa sauti🀣🀣🀣
Nadhan ulikuwa mtumish mwenye nyadhifa zake, kuvuruga maeneo yote hayo hadi Mwandoya kwa Mpina!

Nadhani ulibakiza jangwani Bukundi pekee.
Bukundi kuelekea makoa au....
 
Huu ni uongo. Kama vp leta hizo video.

Kazi ni kipimo cha utu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…